Lizabon mbona unamuogopa sana lowasa na unatumika kirahisi sana katika kumchafua mtu ambaye hata ukienda mahakamani na kufungua kesi dhidi yake uwezi shinda coz huna uthibitisho wowote wa ufisadi wake.
Ninahisi wewe ni mtu ambaye unamrija mpana sana wa kutafuna kirahisi fedha za wavuja jasho katika taifa hili.
Na unahisi huyu mweshimiwa akiingia madarakani hatakuharibia mirija yako coz inaonesha ni mvivu sana katika majukumu yako.
Na kwasababu umewekwa na mtu katika hiyo position ambaye ni mla jasho la wananchi kirahisi.
Ninahamini wote wanaomponga lowasa kuwa rahisi wa hii nchi ni mafisadi PAPA