James mbatia alikamata kura feki , watuhumiwa pamoja na mzigo wote vikapelekwa polisi , asubuhi yake hakuna watuhumiwa wala mzigo , unajua kwanini ? Nakuhakikishia kwamba zaidi ya wabunge 80 wa ccm watang'olewa mahakamani , tangu nizaliwe sijawahi kuona uchakachuaji wa kishamba namna hii !