Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,094
Hivi alizidiwa kwa kura ngapi zilizotangazwa na nec!? Ni nini hasa hoja iliyopo ya kupinga huo ushindi, nadhani wa Kishimba!
Kesi zote za uchaguzi zinatakiwa zimalizike mwezi wa 3 mwakani .
anajisumbua tu,J4 alishinda na anapoteza mda tu
aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la kahama mjini (chadema ), james lembeli amefungua kesi mahakama kuu ya tanzania kanda ya shinyanga kupinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea wa ccm, jumanne kishimba.
Lembeli anawakilishwa na joachim hamis wa kampuni ya mpoki & associates advocates ya dar es salaam, hii kesi si ya kukosa, itakuwa ni ya kusisimua sana.
Tunaamini mahakama itatendeka.
Haki ya mtu inaweza kucheleweshwa lakini siyo kupotea kila la Lembeli mbunge unasubiri kutangazwa
Umeandika jambo zito sana , ule ni uchakachuaji wa kishamba sana !Yale malori ya kura feki kuelekea mikoani yaliwabeba sana wabunge WA ccm/
ILI KUSHINDA KESI
********************
KOPI ZA NAKALA ZA WASIMAMIZI
KAMA USHAHIDI!MUHIMU/
Hivi alizidiwa kwa kura ngapi zilizotangazwa na nec!? Ni nini hasa hoja iliyopo ya kupinga huo ushindi, nadhani wa Kishimba!
Very true , katika uwanja ambao hauna magugu kishimba hamuwezi kabisa lembeli .James Lembeli Mwana Maria ndio Chaguo letu wana Kahama, huyo Kishimba atajijua na Mkapa na Mapolisi CCM wao kwa kile walichokifanya wakati wa Uchaguzi tunakijua. Kishimba hatakaa aitishe hata Mkutano hapa Kahama yetu na yeye anajua na hata uhuru hana.
Unajua kwanini davis mosha amejiuzuru siasa baada ya kujaribu na kuangukia pua moshi mjini ? Huyu aliburuzwa kugombea na alihakikishiwa ushindi lakini baada ya magumashi kushindikana kura zikaokotwa porini , jiongeze kidogo mjomba .Lembeli hana lake. Aibu yake huyoooo anajisumbua tu. Hashindi kesi katu.
Mim nasema amekufa kisiasa huyu...no way
Je zilikuwa halali ? Hivi wewe na akili yako unaamini kabisa wananchi wanaweza kumchagua kishimba na wamuache mheshimiwa lembeli ?Huyu jamaa alizidiwa zaidi ya kura elfu ishirini sijui atazipata wapi.
huyo mzee naye vichekesho kwelikweli si angeenda kuomba ajira kwa lowassa ya kuchunga hata mbuzi,
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini (CHADEMA ), James Lembeli amefungua kesi Mahakama kuu ya Tanzania Kanda ya Shinyanga kupinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea wa CCM, Jumanne Kishimba.
Lembeli anawakilishwa na Joachim Hamis wa kampuni ya Mpoki & associates Advocates ya Dar es salaam, hii kesi si ya kukosa, itakuwa ni ya kusisimua sana.
Wala hiyo haijawahi kuwa kigezo , hebu fuatilia jimbo la ukerewe .Kwani CDM wameshinda kata ngapi katika jimbo lote la Kahama?
Wakishinda Chaggadema HALALI,Wakishinda CCM Wameiba kura na akishinda Zitto ameachiwa jimbo na CCM???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????Je zilikuwa halali ? Hivi wewe na akili yako unaamini kabisa wananchi wanaweza kumchagua kishimba na wamuache mheshimiwa lembeli ?
Teh Teh huyu alidhani ile fimbo yake ya kishirikina itampa ubunge! Kamwe hatoweza kushinda..