Lema ulimtukana Mzee Ndugai, Umeona aliyonena yametimia?

Tanganyika hatuhitaji kuendeshwa na haya mafisadi (waarabu wanasifika kwa rushwa duniani hawaamini ktk sheria)

Ndio maana walibeba wabunge wakaenda dubai wakawahonga mabilion pmj na magari ili kurahisisha lengo la kuuziwa nchi
We ni mwendawazimu.
Hata nchi zilizoendelea hazimiliki kila kitu wenyewe, bandari nyingi duniani zina wawekezaji.
 
Yaani Na ww akili zako ni Bora hata Lena . udhaifu wa serikali Na ccm Lao hawana zote kwa Lema nakushauri mlaum unamruhusuje ameuza nchi Na sio Lema
 
Bora umemweleza chausiku ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…