Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,581
- 272,323
Tangu ile kampeni ya kitaifa ya kumvua ubunge MH LEMA ilipobuma , NIMEMVULIA KOFIA HUYU JAMAA !
weeee thubutu, kijana wa mtei na mbowe aguswe?! msaka tonge huyu kaingia chamani juzi tu kusaka fursa leo hii amekula ya mbuzi.............................
Tangu ile kampeni ya kitaifa ya kumvua ubunge MH LEMA ilipobuma , NIMEMVULIA KOFIA HUYU JAMAA !
Asilimia kubwa ya kauli za Lema. Hazina kichwa wala mguu. Anataka PM afukuzwe, mbona yeye alipopatwa na ile kashfa ya MINI KABANG baada ya picha kuvuja hakufukuzwa?
wafanyabiashara wa arusha wanajuta sana kumchagua lema' uchumi wa arusha umeshuka sana kwa ajili ya vurugu za chadema
kaka apo umeuaKamvue uenyekiti Mbowe kwanza kabla hujanyooshea wengine vidole
KUB anatumia cheo kufanyia uzinzi ni aibu kubwa kwa chadema na taifa
Kamvue uenyekiti Mbowe kwanza kabla hujanyooshea wengine vidole
KUB anatumia cheo kufanyia uzinzi ni aibu kubwa kwa chadema na taifa
kaka apo umeua
Mbona unamtukana Lema tena?
wewe unataka kila mtu aamini upumbavu unaomini wewemjinga mwingine huyu hapa .....
lema hawezi kuguswa chadema. ameingia kwenye kundi la watakatifu a.k.a chadema chumbani