Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
Tangu ile kampeni ya kitaifa ya kumvua ubunge MH LEMA ilipobuma , NIMEMVULIA KOFIA HUYU JAMAA !
Una akili sana wewe!
Tangu ile kampeni ya kitaifa ya kumvua ubunge MH LEMA ilipobuma , NIMEMVULIA KOFIA HUYU JAMAA !
Majungu ya kitoto peleka fbNgoja nikunong'oneze kidogo! Usimwambie mtu! Haka ka mh kakubwa kuliko wote ka Chadema kidume kweli, kilisambaratisha ndoa ya Mtoto wa mbunge wa chama chake jimbo moja huko Kilimanjaro, mkubwa akawa anakula mzigo, dogo akashtuka akaamua kumuacha huyo mke akaoa mwingine mdogo mdogo, nimekuambia wewe tu usimwambie mtu. CHADEMA OYEE!!
Majungu ya kitoto peleka fb
Akiongea ITV jioni hii, Mbunge LEMA amesema kama pinda angekuwa CDM wangemvua UPM na Ubunge, pia wangemfikisha mahakamani kwa yale yaliyotokea kwenye operation kimbunga na tokomeza. Aidha Mawaziri wote wane angevuliwa hadi uanachama kwa fezeha walizofanyiwa wananchi.
Lema amesema CC ya CDM iko makini ktk kufanya maamuzi makubwa ya kuwaajibisha viongozi ndan ya CDM kwa makosa au shutuma zinazomkabiri.
Mtu au raia mmoja akiteswa rais achukkulie kama mmoja ktk familia yake ya damu ameteswa hivyo awe makini na serious kufatilia sualahilo.
Mtangazaji amembana mbunge OBAMA kuhusu CCM kushindwa kufukuza mafisadi, OBAMA kama waliyo wenzake ameshindwa kujibu anadai hata kijiji kinamafsadi, unaongelea wa kkijijn wakati swali ni la kitaifa??
Nawasilisha
wewe ni sawa na debe tupu haliachi kuvuma,, wenzio tunazungumzia mustakabali wa nchi kiuchumi wewe umekazania ngono tuu badilika!!Kamvue uenyekiti Mbowe kwanza kabla hujanyooshea wengine vidole
KUB anatumia cheo kufanyia uzinzi ni aibu kubwa kwa chadema na taifa