Halfcaste
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 972
- 215
Kamvue uenyekiti Mbowe kwanza kabla hujanyooshea wengine vidole
KUB anatumia cheo kufanyia uzinzi ni aibu kubwa kwa chadema na taifa
hili la uzinzi tuliache maana hat a Rais wetu na mwenyekiti wa CCM si msafi kwenye hili. Hata wewe si msafi najua.