GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Bunge alasiri hii
Kama maandamano yanalenga kutetea haki za matanzania kamwe hayatakoma usiku na mchana na Polisi wajiandae. Hizo ni salam za Mh. Godbless Lema alsiri hii akimwaga Moto Bungeni katika kuchangia hotuba ya Waziri kivuli wa Fedha na Naibu kiongozi wa Kambi ya Upinzani.
Anasisitiz endapo tutaweza kuishi kwa usawa na kujali misingi ya kidemokrasia na uwajibikaji , kamwe maandamano hayatakuwepo. Na mkitaka kuamini hilo fanyeni uchunguzi hawaandamani CDM wanaandamana wananchi waliochoshwa na udhalimu wa Serikali.
Haungi mkono Bajeti
Kama maandamano yanalenga kutetea haki za matanzania kamwe hayatakoma usiku na mchana na Polisi wajiandae. Hizo ni salam za Mh. Godbless Lema alsiri hii akimwaga Moto Bungeni katika kuchangia hotuba ya Waziri kivuli wa Fedha na Naibu kiongozi wa Kambi ya Upinzani.
Anasisitiz endapo tutaweza kuishi kwa usawa na kujali misingi ya kidemokrasia na uwajibikaji , kamwe maandamano hayatakuwepo. Na mkitaka kuamini hilo fanyeni uchunguzi hawaandamani CDM wanaandamana wananchi waliochoshwa na udhalimu wa Serikali.
Haungi mkono Bajeti