Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
ni bora hivyo kuliko amani ya kinafiki
huyu muhuni hajali kabisa hutu.Anataka Tz iwe kama somalia.Maandamano yasiyokuwa na tija hasa ya chadema hayawasaidii lolote maskini wa Tz.Kwanza 2meshajua huyu si mtanzania ni mungiki anayetaka kuigeuza Tanzania Afgastan.