aminangalo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 974
- 190
Kwa muda mrefu sasa kumekuwepo na ugomvi wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA Arusha Kati ya madiwani wa CHADEMA wao kwa wao na mbunge
Naibu meya wa Arusha Msofe diwani wa kata ya daraja mbili msofe tangu atoke ccm akagombea ubunge na kupata ndani ya CHADEMA hali imekuwa siyo mzuri kwanza msofe ndiye alimshinikiza Lema akubali mwafaka na kuchukua nafasi ya naibu meya ambayo CHADEMA waliikaataa awali kama mtakumbuka ndicho kisa chakuwafukuza madiwani wanne lakini lema na msofe walikaa mezani na kumkubali meya ambaye CHADEMA ilishaa mwita meya wa kichina nakukata kabisa kumtambua
Msofe baada ya kumwiza lema kingi na kulamba nafasi ya unaibu meya alianzisha vitisho kwa LEMA kuwa 2015 yeye msofe ndiye anafaa kuwa mbunge wa Arusha
Msofe na LEMA na mkuu wa mkoa wa Arusha walishirikiana kwa pamoja kula mlungula kila mmoja kwa wakati wake kwenye kampuni ya skyetl Arusha ili ipewe tenda ya taa za bara barani jambo ambalo limesababisha mama shujaa mkurugenzi mlokole asiyependa rushwa sapora Liana kung'olewa Arusha
Shida kwa sasa msofe baada ya kufanikiwa kukamata nafasi ya naibu meya Arusha anapiga dili hadi raha msofe ni mtu anayejua kutishia naaingiliki kirahisi aliwasumbua sana ccm kabla ya kumwangusha kwenye uchaguzi akaelekea CHADEMA ndani ya manispaa kila tenda nilazima alambe cha juu uzuri wa meya wa ccm anaukwasi wakutosha kwahiyo dili ndogo ndogo hayupogo hii inamfanya msofe ashinde manispaa kama mtaalamu
Mwaka Jana msofe kama NAIBU meya alichukua tenda ya statonar na nyingine ndogo jambo ambalo ni kinyume na Sheria ya manunuzi chama chake kikamwita ili kimulize msofe alichofanya badala ya kujibu hoja alianza kumporomoshea matusi MWENYEKITI wa kikao diwani wa CHADEMA kata ya ngarenaro kikao kikavunjika
Baada ya hapo kamati tendaji ilimwandikia barua msofe ajieleze ndani ya siku saba tangu alipo pata barua hajajieleza msofe amepata nguvu baada ya suala la skyetl kuhusika yeye na LEMA kwahiyo alimwambia LEMA kama najadiliwa maana mashitaka ni matatu
1.kuhusika kuitetea kampuni ya skytel
2.kuchukua tenda manispaaa kinyume cha sheria ya manunuzi
3.kunda makundi ndani ya chama yanayowahusisha madiwani wa SEKEI kimandolu elerei kaloleni na Themi
Msofe baada ya kuisoma barua hiyo alimwambia mbunge kosa LA kwanza tupo wote maana tumetajwa kwa pamoja baada ya kuona atachafuka na kinda tea MH mbunge ametumia busara na kusema hayo mambo ya msofe yaachwe kwasasa tujenge chama kwanza maana kwasasa Arusha chadema imebeba mamluki wemgi sana kwasasa
Baadhi ya madiwani wa CHADEMA wakimlaumu mbunge na viongozi wao wakitaifa kuwa LEMA ni tatizo na huwezi mjadili maana mbowe na slaa msikiliza kuliko wao ndiyo sababu viongozi wengi waliyopo wilayani kawaweka lema chama Arusha kipo taabani
Madiwani wenzetu waliyoingia kwenye hizi chaguzi ndogo hawana tofauti na ccm na wataalamu ambao wanaibia wananchi sisi kama chama kinachopinga ufisadi kwa sasa Arusha CHADEMA hatuna tofauti na CCM maana baadhi yetu wakiongozwa na naibu meya wanapiga dili
Suluhisho hapa nikuwafukuza maana chadema malengo yetu ni kupinga ufisadi
Kwasasa tumekwama maana muda mrefu katibu mkuu hajajibu barua yetu ya malalamiko juu ya kinachoendelea Arusha
Naibu meya wa Arusha Msofe diwani wa kata ya daraja mbili msofe tangu atoke ccm akagombea ubunge na kupata ndani ya CHADEMA hali imekuwa siyo mzuri kwanza msofe ndiye alimshinikiza Lema akubali mwafaka na kuchukua nafasi ya naibu meya ambayo CHADEMA waliikaataa awali kama mtakumbuka ndicho kisa chakuwafukuza madiwani wanne lakini lema na msofe walikaa mezani na kumkubali meya ambaye CHADEMA ilishaa mwita meya wa kichina nakukata kabisa kumtambua
Msofe baada ya kumwiza lema kingi na kulamba nafasi ya unaibu meya alianzisha vitisho kwa LEMA kuwa 2015 yeye msofe ndiye anafaa kuwa mbunge wa Arusha
Msofe na LEMA na mkuu wa mkoa wa Arusha walishirikiana kwa pamoja kula mlungula kila mmoja kwa wakati wake kwenye kampuni ya skyetl Arusha ili ipewe tenda ya taa za bara barani jambo ambalo limesababisha mama shujaa mkurugenzi mlokole asiyependa rushwa sapora Liana kung'olewa Arusha
Shida kwa sasa msofe baada ya kufanikiwa kukamata nafasi ya naibu meya Arusha anapiga dili hadi raha msofe ni mtu anayejua kutishia naaingiliki kirahisi aliwasumbua sana ccm kabla ya kumwangusha kwenye uchaguzi akaelekea CHADEMA ndani ya manispaa kila tenda nilazima alambe cha juu uzuri wa meya wa ccm anaukwasi wakutosha kwahiyo dili ndogo ndogo hayupogo hii inamfanya msofe ashinde manispaa kama mtaalamu
Mwaka Jana msofe kama NAIBU meya alichukua tenda ya statonar na nyingine ndogo jambo ambalo ni kinyume na Sheria ya manunuzi chama chake kikamwita ili kimulize msofe alichofanya badala ya kujibu hoja alianza kumporomoshea matusi MWENYEKITI wa kikao diwani wa CHADEMA kata ya ngarenaro kikao kikavunjika
Baada ya hapo kamati tendaji ilimwandikia barua msofe ajieleze ndani ya siku saba tangu alipo pata barua hajajieleza msofe amepata nguvu baada ya suala la skyetl kuhusika yeye na LEMA kwahiyo alimwambia LEMA kama najadiliwa maana mashitaka ni matatu
1.kuhusika kuitetea kampuni ya skytel
2.kuchukua tenda manispaaa kinyume cha sheria ya manunuzi
3.kunda makundi ndani ya chama yanayowahusisha madiwani wa SEKEI kimandolu elerei kaloleni na Themi
Msofe baada ya kuisoma barua hiyo alimwambia mbunge kosa LA kwanza tupo wote maana tumetajwa kwa pamoja baada ya kuona atachafuka na kinda tea MH mbunge ametumia busara na kusema hayo mambo ya msofe yaachwe kwasasa tujenge chama kwanza maana kwasasa Arusha chadema imebeba mamluki wemgi sana kwasasa
Baadhi ya madiwani wa CHADEMA wakimlaumu mbunge na viongozi wao wakitaifa kuwa LEMA ni tatizo na huwezi mjadili maana mbowe na slaa msikiliza kuliko wao ndiyo sababu viongozi wengi waliyopo wilayani kawaweka lema chama Arusha kipo taabani
Madiwani wenzetu waliyoingia kwenye hizi chaguzi ndogo hawana tofauti na ccm na wataalamu ambao wanaibia wananchi sisi kama chama kinachopinga ufisadi kwa sasa Arusha CHADEMA hatuna tofauti na CCM maana baadhi yetu wakiongozwa na naibu meya wanapiga dili
Suluhisho hapa nikuwafukuza maana chadema malengo yetu ni kupinga ufisadi
Kwasasa tumekwama maana muda mrefu katibu mkuu hajajibu barua yetu ya malalamiko juu ya kinachoendelea Arusha