Lema na Msofe walianzisha Arusha na madiwani wengine CHADEMA

Lema na Msofe walianzisha Arusha na madiwani wengine CHADEMA

uchaguz ujao lema asigombee,akili yake ndogo inakost cdm

Ni kweli kabisa na NDIO MAANA matokeo ya chaguzi ndogo za udiwani zilizopita pale Arusha ni CHADEMA 5 - CCM 0. pia usisahau kutokana na akili yake ndogo ilisababisha BATLIDA BURIANI atoe machozi kama mtoto mdogo baada ya kushindwa katika uchaguzi.
 
Siku hizi matusi ni kawaida
Ama nani hapa aisejua umetukana tusi? Mods?
Khaa!! Nimetusi wapi bana? Mie nimeuliza kitu ambacho kipo mtandaoni. Nakushangaa wewe unaona ni tusi wakati muhusika alitaka kugawa picha zake action hadharani. Kafie mbele bana :shocked:
 
Chadema hakina hadhi ya kujadiliwa humu
 
Ufisadi ni tatizo kubwa katika nchi hii.Nionavyo mimi hakuna mpingaji wa kweli wa ufisadi katika nchi hii.Sioni tofauti kati ya Chadema na sisiemu katika suala la ufisadi.Hata kukubali kulamba posho kubwa mjengoni wakati maisha ya watanzania wengi ni duni ni ufisadi pia.Mkombozi wa kweli wa nchi hii atatoka wapi?Chadema?x.
 
Chadema-chama vurugu-viongozi vurugu-wanachama vurugu-wanatuonyasha matokeo gani kama tukiwapa dola
 
Tupende tusipede tupo makundi mawili wapo wenye uchungu na nchii na wapo liende hivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom