Lema na Msofe walianzisha Arusha na madiwani wengine CHADEMA

Lema na Msofe walianzisha Arusha na madiwani wengine CHADEMA

Vurugu nyingi wala hazianzishwi na madiwani wala wabunge bali ni sisi wenyewe kutaka kila mara jina lako lilete uzi huku ndani....kazi aliyofanya lema ndani ya arusha hupaswi kuibeza hata kidogo,haiwezi tokea mtu akafukuza madiwani 4 tena wa upinzani na bado akawarejesha na nyongeza juu ya diwani mmoja na kuwa jumla 5 na bado ukabeza juhudu zake,mda mwingine mpakeni tope lema badala ya ma#$&@&v
Hebu tutoe matongotongo kazi hii inamsaidia vipi mwananchi kupambana na changamoto za maisha?
 
lema mfalme.jpg
 
Hebu tutoe matongotongo kazi hii inamsaidia vipi mwananchi kupambana na changamoto za maisha?

Swali lako linaweza jibiwa na mkazi wa jiji la arusha ndiyo anaejua changamoto na changabaridi za maisha ya hapo arusha pamoja na juhudi za nguli wa siasa za arusha.

Wewe huna tongotongo mkuu una kaniki usoni mwako na siku likianguka hata kwa bahati mbaya utakuja mpeleka mahamani aliyekuvisha hilo kaniki bila hata msaada wa mwanasheria
 
aminangalo wewe ni lini umekuwa mwana chadema ?? umejitahidi kuandika lakini umechemka kwanza nikuambie wakati arusha wakiweka taa za barabarani huyo unaemtaja kuwa alikula cha juu yaani msofe wala hakuwa diwani sasa sijui alikulaje cha juu
 
Kuwa CHADEMA inatakiwa kuwa na akili ya ng'ombe sijawahi sikia kama kuna naibu meya alafu Hanna meya
 
Unaijua Arusha au unaisikia! Nenda kayaongelee haya mautumbo yako hadharani utiwe adabu na wenye Arusha na Lema wao.
 
Hii thread inatufundusha wewe ni domo kaya. Kwa taarifa hadi sasa hivi hakuna muafaka kati ya Maccm na Chadema. Bado Gaudensi ni meya wa Kichina. Hata madiwani wa Chadema hawamtambui maana hajachaguliwa na madiwani wa Arusha. Msofe ni naibu Meya maana amechaguliwa na madiwani wa vyama vyote.
Chunga unayo leta hapa maana maccm mnashida sana.

akili za bambucha kachukue kiroba kwa ns
 
Ukweli ni kwamba pamoja na Lema kutokuwa na standards za kiongozi kwa jimbo la Arusha hakuna wa kumtoa awe CCM au CDM!
 
Kwa kufuatilia post za wiki mbili hizi nimegundua wapinzani wa CHADEMA wamekuja na mbinu mpya ya kuwafitinisha viongozi wa chadema!!!
 
Nukta hamna.....hivi wewe fara hukufundishwa uandishi wa insha primary?....Unaandika utumbo, halafu hata kanuni za uandishi huzijui....Utakuwa una utindio wa ubongo wewe
 
Nukta hamna.....hivi wewe fara hukufundishwa uandishi wa insha primary?....Unaandika utumbo, halafu hata kanuni za uandishi huzijui....Utakuwa una utindio wa ubongo wewe

asante kwa kushtuka , huyo dada kama kafika hata darasa la 4 , NIKATENI KICHWA !
 
Nukta hamna.....hivi wewe fara hukufundishwa uandishi wa insha primary?....Unaandika utumbo, halafu hata kanuni za uandishi huzijui....Utakuwa una utindio wa ubongo wewe

Changia hoja acha kujifanya unakosoa akati we mwenyewe unakosea!
kama hukua na hoja c ungetulia tu!!!
 
Back
Top Bottom