CCM na makanjanja wao wa gazeti la uhuru ni majanga matupu,wanasema kuwa zahanati íliyozinduliwa na Lema na Msofe imejengwa na serekali kwa kushirikiana na wananchi,ilíkuwa imepangwa kuzinduliwa na mwenge wa uhuru.Sasa sijui serekali ni nani na wananchi ni nani.Kama Lema na Msofe wamezinduwa hiyo za hanati wanahaki ya kufanya hivyo kwa vile wao ndio wananchi wenyewe waliojenga na iko kwenye jimbo lao.Kerere zote za makanjanja wa gazeti la uhuru ni kwa vile Lema na Msofe wametumia haki yao ya kuzindua Zahanati walioshiriki kuijenga wakati wao walikuwa wanataka Zahanati izinduliwe na mwenge ambao haukutoa hata senti moja zaidi ya kutumia kile kilichotafutwa na wananchi.