Wakitoa maelezo polisi Lema alisema polisi hawahusiki na bomu na hawana ushaidi wowote . alipofika Mbowe akasema wanausika na wanao ushaidi. Lema alipoulizwa tena akasema kama mwenyekiti kasema wanao basi sawa ila yeye hajuhi.
source: Tbc habari sa 2
Wewe soma tanzania daima ikibidi uza mandazi wenzio wauze karanga,lema hayupo sawa kichwani mbowe na vile mwenzangu na mimi.Nina uhakika wewe ni baby boomers generation (tafuta kwenye google its meaning)
Unatazama TBC, tena bila aibu unaleta uzi hapa!
Wewe soma tanzania daima ikibidi uza mandazi wenzio wauze karanga,lema hayupo sawa kichwani mbowe na vile mwenzangu na mimi.
Ushahidi wa mtoto juu ya kupigwa risasi na polisi kwenye tukio la bomu Arusha nao TBC wameutoa?Wakitoa maelezo polisi Lema alisema polisi hawahusiki na bomu na hawana ushaidi wowote . alipofika Mbowe akasema wanausika na wanao ushaidi. Lema alipoulizwa tena akasema kama mwenyekiti kasema wanao basi sawa ila yeye hajuhi.
source: Tbc habari sa 2
Wewe soma tanzania daima ikibidi uza mandazi wenzio wauze karanga,lema hayupo sawa kichwani mbowe na vile mwenzangu na mimi.
Wakitoa maelezo polisi Lema alisema polisi hawahusiki na bomu na hawana ushaidi wowote . alipofika Mbowe akasema wanausika na wanao ushaidi. Lema alipoulizwa tena akasema kama mwenyekiti kasema wanao basi sawa ila yeye hajuhi.
source: Tbc habari sa 2
unaleta habari za TBC CCM zinazofanyiwa uhariri Lumumba watu tulisha sahau kama kuna TBC.Wakitoa maelezo polisi Lema alisema polisi hawahusiki na bomu na hawana ushaidi wowote . alipofika Mbowe akasema wanausika na wanao ushaidi. Lema alipoulizwa tena akasema kama mwenyekiti kasema wanao basi sawa ila yeye hajuhi.
source: Tbc habari sa 2
chadema sasa kila mtu amekuwa msemaji wa chama! kaaazi kweli kweli!
Wakitoa maelezo polisi Lema alisema polisi hawahusiki na bomu na hawana ushaidi wowote . alipofika Mbowe akasema wanausika na wanao ushaidi. Lema alipoulizwa tena akasema kama mwenyekiti kasema wanao basi sawa ila yeye hajuhi.
source: Tbc habari sa 2
Chanzo ni TBCCM?!Wakitoa maelezo polisi Lema alisema polisi hawahusiki na bomu na hawana ushaidi wowote . alipofika Mbowe akasema wanausika na wanao ushaidi. Lema alipoulizwa tena akasema kama mwenyekiti kasema wanao basi sawa ila yeye hajuhi.
source: Tbc habari sa 2
Wakitoa maelezo polisi Lema alisema polisi hawahusiki na bomu na hawana ushaidi wowote . alipofika Mbowe akasema wanausika na wanao ushaidi. Lema alipoulizwa tena akasema kama mwenyekiti kasema wanao basi sawa ila yeye hajuhi.
source: Tbc habari sa 2