hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
Hivi vyanzo vya habari sina hakika kama viko sahihi. Sijui ni CCM wanajaribu kupotosha umma kuonesha kuwa CDM hawajajipanga. Enewei... Siasa maji taka.
....Ni kweli mkuu awenda....chagonja amezidiwa akili ...amebaki hana la kufanya ni bora asingeende arusha tu...Hapa wanaojichanganya ni Lema na Mbowe au polisi na TBC ndo wanaojichanganya? Nadhani polisi na TBC ndo wanajichanganya.
hayo maneno hayatolewa na tbc kigori wangu, hayo ni maneno ya kamishna CHAGONJA na mahojiano yote kati yake chagonja na lema/mbowe yamerekodiwa. bwatuka tuuu lakini huo ndio ukweli na ushahidi wa mahojiano upo..
kubali ukatae, waume zako wameshajichanganya na wameshaonyesha udhaifu wao.
ARUSHA WILL BE YOUR GRAVE YARD FOR YOU PATHETIC COCKROACHES
Samahani wewe unatumia kiungo au ogani gani kufikiri?Wakitoa maelezo polisi Lema alisema polisi hawahusiki na bomu na hawana ushaidi wowote . alipofika Mbowe akasema wanausika na wanao ushaidi. Lema alipoulizwa tena akasema kama mwenyekiti kasema wanao basi sawa ila yeye hajuhi.
source: Tbc habari sa 2