johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Nimewasoma Godbless Lema na John Heche wote wakiwa ni wanachama wa Chadema kule twitter wakimlalamikia Mohamed Dewji anayeimiliki klabu ya Simba (49%) kwa kuipigia kampeni CCM kwenye Simba Day.
Nawakumbusha tu Chadema kwamba Dewji ni mwanachama halali wa CCM aliyezaliwa mkoani Singida pamoja na mgombea urais Tundu Lissu, hivyo Mo anayohaki kumpigia kampeni Magufuli, Zungu na CCM popote pale alipo ilimradi tu asivunje amani.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!
Nawakumbusha tu Chadema kwamba Dewji ni mwanachama halali wa CCM aliyezaliwa mkoani Singida pamoja na mgombea urais Tundu Lissu, hivyo Mo anayohaki kumpigia kampeni Magufuli, Zungu na CCM popote pale alipo ilimradi tu asivunje amani.
Nawatakia Dominica yenye baraka.
Maendeleo hayana vyama!