mnyika ni mbunge wangu ila hamna alichofanya mpaka sasa nikelele kama ni dhaifu bas yeye ana high class ya udhaifu akae chonjo na m4c yake huku wiki nzima hakuna maji ubungo
Hii taarifa kama ni ya ukweli ,natoa angalizo.
Mh Mnyika na Lema mkija Mtwara tafadharini musimtaje jina mtu wala Chama chochote cha Siasa ,nyie zungumzieni faida ya Gas kwa manufaa ya Wanamtwara na Taifa kwa ujumla ikibaki Mtwara ukitumia ile kaulimbiu Gas kwanza Vyama baadae,Mtwara tumeunganishwa na Gas,ukitaja jina la mtu au jina la Chama utashushwa tuuu Jukwaani haijarishi unaongea nini.SIJAWAHI KUONA WANAKUSINI TUMEUNGANA NAMNA HIII .
hoja yako ilikuwa ni kukatika maji sio kutokuwa na maji kabisa au sio?
Suala la kwenda shule au kutokwenda nadhani tuliache kidogo , litatutoa kwenye mstari!
We follow where the line of weakness is lying, does this bothering you???
Hii taarifa kama ni ya ukweli ,natoa angalizo.
Mh Mnyika na Lema mkija Mtwara tafadharini musimtaje jina mtu wala Chama chochote cha Siasa ,nyie zungumzieni faida ya Gas kwa manufaa ya Wanamtwara na Taifa kwa ujumla ikibaki Mtwara ukitumia ile kaulimbiu Gas kwanza Vyama baadae,Mtwara tumeunganishwa na Gas,ukitaja jina la mtu au jina la Chama utashushwa tuuu Jukwaani haijarishi unaongea nini.SIJAWAHI KUONA WANAKUSINI TUMEUNGANA NAMNA HIII .
TUNAWAKARIBISHA,BUT WE ARE WARNING THEM HUKU GESI KWANZA KWA MASLAHI YA WANA KUSINI NA TAIFA KWA JUMLA SIASA NA :blah::blah::blah::blah::blah::blah::blah::blah: BAADAE,,
SERIOUSLY WE ARE TELLING THEM HATUTOSHINDWA KUWASHUSHA JUKWAANI KAMA TULIVOFANYA KWA MBATIA KAMA HAWATAKUWA WAWAZI ZAID KATIKA HILO,
WAJE WAKIJUA YA KWAMBA WATU WANAHITAJI KUSKIA YENYE KULETA MATUMAIN FULL STOP...!!
Lazima viti vya akina kinana!na Nape vs Mangula Vinawaka Moto Havikaliki!
Kaka hii vita imeanza lini?
Hii si njema kwa MAGAMBA kwa kuwa wao ni wachumia tumbo hodari sana kushadadia UFISADI.bigUP sana wana mtwara.MTWARA kwanza vyama baadae.magamba zi iii,! ziiiiiii.