Lema matatani tena, polisi wavamia studio

Kashindwa Mbowe na Dr Slaa ataweza Lema...

...kaka slaa na mbowe wameshimdwa nini, mbona naona kila kukicha presha yenu iko juu ? mnahaha kuwanunua vijana wa cdm mnasingizia mnawapa ushauri wa kufanikiwa kisiasa...! na nakumbuka mwenyekiti wenu alikiri cdm ni tishio halisi kwenye kikao cha juzi,kwani umesahau kaka...
 
Bila shaka watasema John Mkoloni na Kamanda Lema walikuwa wanarekodi wimbo wa uchochezi.
 

lema matatani tena polisi wavamia studio? Japo mie sio gamba, umechapia mzeiya
 


Shule za kata na Mh Kawambwa ni wa kulaumiwa kwa watu kama hawa. Kwanini usichore Zombie kwenye mtihani ? Hueleweki
 

Wote walingombea urais wakaangukia pua.
 
Udumu Mh.Lema wachachafye hao magamba hadi wachubuke tuko nyuma yako kamanda.
 
matatani kivp? mbona kichwa cha habari na habari yenyewe haviendani?
 
Huyu anayedai wabunge hawajuikai yao kwa kuwa wanaimba ni kwamba ana uelewa mdogo Sana kuhusiana na uongozi. Kiongozi mzuri hutumia mbinu ho yote isiyo hatarishi kufikisha ujumbe ili ueleweke. Wabunge wana wajibu wa kuwaelewesha. Watu wao mambo kadha wa kadha. Hizi Elimu za fom foo ya siku hizi. Kazi kweli kweli.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Mwambie komba na Vicky kamata waache kuimba kwanza!
Eti kisa ni wabunge..unaonekana una tope kichwani!
 
Mh. Lema ni janga la taifa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kama Mh. Lema in janga la taifa, una hakika wewe sio Sumu kwa Taifa kama jina lako lisemavyo?

Nilimchagua Godbless Lema kama Mbunge wangu 2010 na sikubaliani na mafisadi wanaondelea kumsakama na kumkashifu.
 
sija elewa...ngoja nichore zombi......
 

Kwahiyo waimbege hao wabunge wenu nyie Magamba, kama vile Komba ila wakiimba wa CDM unaona wivu. Ujumbe hufikishwa kwa njia nyingi mama weeee. au unadhani anabana pua kama vibaraka wenu wa T.H.T?
#JIPANGE #
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…