Lema, saizi hana kesi Chadema wanatakiwa wamuache apumzike hajipange jinsi ya kupambana na kesi yake Arusha, anaweza kupewa hiyo nafasi yakazuka mengine, kuna watu muhimu ndani ya Chadema wanaweza kufanya kazi hiyo yupo John Shibuda, hanaweza kuongoza jahazi la Chadema Arumeru Mashariki.