Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema pamoja na viongozi wa chadema wa Arusha mjini na baadhi ya wananchi wa jimbo hilo watapanda kizibani leo kwenye mahakama ya Arusha.
Hii ni kwasababu ya Lema kutembea kwa miguu kutoka mahakamani na kuelekea kwenye ofisi zake zilizopo maeneo ya ofisi ya mkuu wa wilaya na baadhi ya wananchi waarusha waliyokuwa wametoka kwenye kesi mbalimbali kurudi kwa miguu nao walikamatwa siku ya ijumaa na kufunguliwa mashitaka. tupo mahakamani nitawajuza kinachoendelea.
Hii ni kwasababu ya Lema kutembea kwa miguu kutoka mahakamani na kuelekea kwenye ofisi zake zilizopo maeneo ya ofisi ya mkuu wa wilaya na baadhi ya wananchi waarusha waliyokuwa wametoka kwenye kesi mbalimbali kurudi kwa miguu nao walikamatwa siku ya ijumaa na kufunguliwa mashitaka. tupo mahakamani nitawajuza kinachoendelea.