CCM bana eti na huyu naye ni mpiga debe kwenye kampeni za Arumeru Mashariki.
Baada yakumuumbua wazir mkuu mjengoni,imebainika ana kesi ya kujibu huku ishu ya "mama mdogo" ikiwa ni chambo,Lema siku za karibuni arumeru ameonekana mnyonge huku zile mbwembwe zake zikipungua sana,tusubiri tuone chezo