mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 460
mshauri mchaga mwenzako asiache pesa aisee. ni dhambi kubwa kwa mchaga kuacha pesa
Kivipi kaka?! Mbona wakati anatangazia umma yeye haku mind his own business, na wewe kwa nini hukumkumbusha a mind his own mind na asiwahusishe watu uamuzi wake. Chezea ZE POSHO WEYE? Haondoki ng'o. Kama unabisha tupingemind your own business
Haondoke aende wap nyie manyang'au wa siasa, alisema anajadiliana kwanza na viongozi wa UKAWA then ndio afanye maamuzi nadhani cha kujiuliza viongozi wa UKAWA wamemshauli nini? au shauku yenu ni kuona ameondoka.
hajaondoka Zile zilikuwa stim za bangi.
Nadhani ipo haja sasa, mtu anapotoa muda fulani kufanya jambo fulani,aweke wazi kama muda huo ni kwa sayari gani maana wakati mwingine inachanganya. Si mnakumbuka siku tatu alizo kuwa amepewa JK, watu mkadhani ni siku3, kwa mujibu wa saa za duniani! kumbe ilikuwa ni siku 3,kwa mujibu wa saa za Pluto!
unapokuta wanaume wamekaa sebuleni wanazungumza wewe unatoka jikoni kupika na kudandia mada utapewa talaka.changia hoja acha ukabila wa kijinga we mla sembe
Kivipi kaka?! Mbona wakati anatangazia umma yeye haku mind his own business, na wewe kwa nini hukumkumbusha a mind his own mind na asiwahusishe watu uamuzi wake. Chezea ZE POSHO WEYE? Haondoki ng'o. Kama unabisha tupinge
ukisikia jina Lema tu,puru linakuwasha unatamani ukunwe!
Hii ni ''wiki ijayo'' ambayo Lema alitujuza kuwa ataondoka Dodoma,tafadhali aage kuwa keshaondoka🙂
Aondoke posho amwachie nani?Hii ni ''wiki ijayo'' ambayo Lema alitujuza kuwa ataondoka Dodoma,tafadhali aage kuwa keshaondoka🙂
Hii ni ''wiki ijayo'' ambayo Lema alitujuza kuwa ataondoka Dodoma,tafadhali aage kuwa keshaondoka🙂