Nimefatilia jana katika M4C Dar Lema akawa anasema alipokua London ameweza kufanikisha hupatikanaji wa gari 4. Sasa nikajiuliza kama Lema ameweza kwenda Londoni na amefanikiwa kuchangiwa gari 4 tena na watanzania wenzetu ina maana Lema ameonesha tofauti kubwa sana na wale wanao zunguka nje ya nchi kuombaomba na mwisho wa siku wanakua wametutia haibu bila maana wakati kwa Lema ameweza omba kwa watanzania wenzetu na si wazungu tafsiri ndogo nikua kama CDM ingekua madarakani leo hii tungeweza sema Lema amefanikiwa kupata nissan 4 toka kwa watanzania wenzetu ambazo zitatumika hosptal nk. Kumbe hata zile net tungeweza changiwa tu na watanzania waliopo marekani, uk na kwengineko bila wazungu.
BIG UP LEMA
Kwa hiyo? Changia vuguvugu la mabadiliko acha ushabiki maharage.
Makamanda mbona tumemwelewa vema Lema. Ila Nape hadi atunge wimbo wa kukremishia kama vile "HALO HELENA LILE BEBERU BORA CHINJA NA ONDOA FIGO NENE...conti..."
Kuomba kwa namna hii anaongoza Obama.Omba omba ni omba omba tu huwezi kuharalisha uomba omba eti huyu kaomba kwa wazungu na huyu kaomba kwa watanzania! wote ni omba omba!
Mbona Obama na Mit Romney huko Marekani ni omba omba kulingana na kauli yako. This is community mobilization my friendOmba omba ni omba omba tu huwezi kuharalisha uomba omba eti huyu kaomba kwa wazungu na huyu kaomba kwa watanzania! wote ni omba omba!
Omba omba ni omba omba tu huwezi kuharalisha uomba omba eti huyu kaomba kwa wazungu na huyu kaomba kwa watanzania! wote ni omba omba!
Nimefatilia jana katika M4C Dar Lema akawa anasema alipokua London ameweza kufanikisha hupatikanaji wa gari 4. Sasa nikajiuliza kama Lema ameweza kwenda Londoni na amefanikiwa kuchangiwa gari 4 tena na watanzania wenzetu ina maana Lema ameonesha tofauti kubwa sana na wale wanao zunguka nje ya nchi kuombaomba na mwisho wa siku wanakua wametutia haibu bila maana wakati kwa Lema ameweza omba kwa watanzania wenzetu na si wazungu tafsiri ndogo nikua kama CDM ingekua madarakani leo hii tungeweza sema Lema amefanikiwa kupata nissan 4 toka kwa watanzania wenzetu ambazo zitatumika hosptal nk. Kumbe hata zile net tungeweza changiwa tu na watanzania waliopo marekani, uk na kwengineko bila wazungu.
BIG UP LEMA
Mmh!Chemistry form two, "periodic table"
Tuma Neno " CHADEMA" kwenda 15710. utakatwa TZS 500 tu.
mkuu hofu waliyonayo we acha tu.watajuta kumvua ubunge. Kumbe anaweza kuwa na sumu zaid ya ile. Big up Lema.