Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,476
- 31,685
Nathibitisha hili;
Ni nissan navara adventura double cab nne ambazo zimetolewa na Chadema tawi la london.
zitaondoka na meli ya mwisho wa mwezi kwenda kuanza kazi bongo. Wakati wengine wanatembea na mikasi mfukoni tayari kwa kukata utepe, na wengine kutembea na masanduku yao tayari kwa safari sisi tunafanya kweli hadi vijijini.
M4C mpaka kieleweke
Chadema wameingia chaka Interpol watakuja kuwakatama kina Lema, hizo gari za wizi huo mtandao wa wizi wa magari wa Dr Mponjoli Malakasuka, saizi yupo jela Uingereza kwa wizi wa magari, gari nyingi sana kutoka Uingereza zilikamatwa kwa wizi zilitwa na Mponjoli.
Ngoja ziingie Dar es Salaam tuwasiliane na Interpol.