Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Nimefatilia jana katika M4C Dar Lema akawa anasema alipokua London ameweza kufanikisha hupatikanaji wa gari 4. Sasa nikajiuliza kama Lema ameweza kwenda Londoni na amefanikiwa kuchangiwa gari 4 tena na watanzania wenzetu ina maana Lema ameonesha tofauti kubwa sana na wale wanao zunguka nje ya nchi kuombaomba na mwisho wa siku wanakua wametutia haibu bila maana wakati kwa Lema ameweza omba kwa watanzania wenzetu na si wazungu tafsiri ndogo nikua kama CDM ingekua madarakani leo hii tungeweza sema Lema amefanikiwa kupata nissan 4 toka kwa watanzania wenzetu ambazo zitatumika hosptal nk. Kumbe hata zile net tungeweza changiwa tu na watanzania waliopo marekani, uk na kwengineko bila wazungu.
BIG UP LEMA
Mkuu net hatukuhitaji kuchangiwa na mtu kwani net zote ni sawasawa na twiga wangapi, makampuni magapi ya madini haya lipi kodi na yakilipa yana lipa 3%.....