Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,155
Wakuu jana Godbless Lema alishikiliwa kwa muda na polisi baada ya kushtakiwa kwa kosa la kujipatia fedha isivyo halali.Inadawa Bwana Lema alimkopesha fedha [kiasi hakijulikani] Bi Maimuna Rashid mkaazi wa Arusha, Bwana Lema aliweka dhamana kadi ya gari namba T 140 ABK kwa makubaliano ya kurejesha fedha na kukabidhiwa kadi muda ulipopitiliza Bi Maimuna Rashid alilikamata gari lakini ikabainika gari si la Bwana Lema bali linamikiwa kisheria na Bwana Joseph Augustino Mangilima.
Godbless Lema ana kesi nyingine ya kutishia kuuwa Bwana Estomieh Chang'a kaimu mkurugenzi wa Jiji.Umaarufu wa Bwana Lema umeongezeka kwa kile wakaazi wa Arusha wanachodhani ni uonevu.
Godbless Lema ana kesi nyingine ya kutishia kuuwa Bwana Estomieh Chang'a kaimu mkurugenzi wa Jiji.Umaarufu wa Bwana Lema umeongezeka kwa kile wakaazi wa Arusha wanachodhani ni uonevu.