We lema Ndiyo maana Magamba wanakuanyaaa mbaya!Viva Kamanda Lema!
Lema twende twende kamanda!! Huo ndo uamsho wenye tija sio hao matahira wanaochoma nyumba za ibada uamsho hewa
We lema Ndiyo maana Magamba wanakuanyaaa mbaya!Viva Kamanda Lema!
mwongo na tapeli tu huyo mkusanya sadaka isiyokuwa na hesabu ya matumizi
Hivi unapajua Manzese Bakharesa? Yaani apo ndio huwa kuna ubishi wa dini kila siku, kwa taarifa yako apo hata ugomvi wa Kuku watu wanajaa.
Kiwanja cha Mrema hicho kila akifanya mkutano watu wanajaa.
Hivi unapajua Manzese Bakharesa? Yaani apo ndio huwa kuna ubishi wa dini kila siku, kwa taarifa yako apo hata ugomvi wa Kuku watu wanajaa.
Kiwanja cha Mrema hicho kila akifanya mkutano watu wanajaa.
Mbaazi zikosa jua usingizia ........ connect the dot!
Magamba CD4 zimeisha fanyeni mpango
Ebu waangalie vizuri hao watu wameweka mikono nyuma wanashangaa!
Mkuu ADC inasoma mchezo kwanza, ikianza hairudi nyuma
Wale wanaohudhuriaga mikutano yenu wanawekaga mikono mbele au kwenye mifuko.But This is not an issue!
Kweli Lema Jembe yaan siyo mbunge wa DSM lakini anaweza kuvuta watu wengi hivi?Magamba Kaeni chini mjiulize kwanini?
Tunaomba ratiba za mikutano ya M4C maana tunataka kuhudhuria kuwasikiliza wakati wa ziara hii muhimu ya viongozi. Mwenye kuwa nayo tafadhali sana.
Asipozunguka mitaani mkono hauendi kinywani maana ubunge chali! mwacheni ajitafutie riziki.[/WE NAWE UNAKERA SANA KAMA VIP JOIN THEM?
Richard Turnbul alimwangalia Nyerere kwa jicho lako.
Ebu waangalie vizuri hao watu wameweka mikono nyuma wanashangaa!