Lema Atikisa Arusha

Lema Atikisa Arusha

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,525
Reaction score
272,237
Mbunge wa milele wa Jimbo la Arusha Mjini leo ametikisa Mji wa Arusha na vitongoji vyake baada ya mkutano mzito sana wa hadhara.

FB_IMG_1562085182158.jpg

FB_IMG_1562085170506.jpg

FB_IMG_1562085159584.jpg

FB_IMG_1562085193535.jpg


Endeleeni kutega sikio kwa safari ya kikazi ya Mbunge huyu iliyoanza rasmi leo
 
Ungekuwa ni mkutano wa ccm wamasai wangesombwa kutoka kutoka ngorongoro fuso zingekuwa bize kwelikweli.
"Na mbele wangewekwa watu maalumu wa kushangilia. Nimehudhuria mikutano mingi ya CCM pale mbele unapoona watu wakishangilia huwa wanapewa mafunzo wiki moja kabla. Dhulma iliyopo wakati wa mafunzo huwa wahudhuriaji huwa wanaishia kupewa soda na ahadi ya elfu 15 mkutano ukiisha. Mkutano ukiisha wachache wenye viherehere ndio hupata pesa. Wale wapole hupewa ahadi zidizoisha" zilisikika sauti za mdau mmoja mbele ya kundi kubwa la watu
 
Lema atarudia ujambazi,akikosa ubunge 2020,wananchi wa arusha wamemchoka kazi kufanya vurugu tu bungeni,badala ya kusema shida na matatizo ya wananchi wa arusha.
 
Back
Top Bottom