Lema apewa chopa kujenga Chadema

a. Lema ni mchagga na Mbowe ni mchaga lazima walinde ajira ya mwenzao

b. Kila la heri Lema kwa kupata perdiems na kusafisha macho kusafiri katika anga..

c. Je ni kikao rasmi cha chama kimeamua hayo? if that is the case, then chama kiko kwenye serious problem..
 
Umeingia choo cha kike; CDM siri zao anazo Mheshimiwa Lusinde!!! Ama wewe ni mfuasi wa Waziri Mkuu wa Uingereza??

Mimi napendekeza huyu jamaa hapo kwenye red apewe cheo cha 'katibu wa itikadi na uenezi'. Yaani jamaa anafaa sana, hasa baada ya kumuona 'anavyo-perform' jukwaani Arumeru Mashariki.
Nakumbuka saana kauli yake ya " ...........Tutatukana............."
 
Tunashuhudia upotevu wa MABILIONI ya pesa za wananchi kwa kumtengenezea LEMA ajira!
Hii ni hatari sana kwa taifa.
Kama katemwa ubunge apumzike mbona wengine hatuna job na tunasurvive?

teh teh hiyo sasa ni chuki binafsi,sasa Kama huna kazi na hautafuti kazi unataka mwenzio aige ujinga wako!.Hebu soma ulichoandika hapo juu vizuri.
 

swala sio kumtengenezea lema ajira,kilichofanyika hapo ni kwamba watu wengi wapate elimu na ukweli wa mambo jinsi yalivyo kwa haraka sana,na pia ni mojawapo ya kumtuma kwa watanzania kutoa elimu ya uraia.watanzania wanhitaji
kujua mambo mengi juu ya haki zao,lakini sasa nani aende?ccm! nadhani kutumia chopa ni njia raisi ya kuwakusanya wasikilizaji wengi kwa muda mfupi.lakini zingatia,demokrasia ni gharama.hivyo sioni tatizo lolote endapo mheshimiwa lema
atatumia chopa.pia tafadhali elewa kwamba katika siasa za tz kwa sasa hakuna siasa za kusini ,magharibi,kaskazini au mashariki,wanaoumia kwa siasa hizo za ****** unazozisifia ni pamoja na wewe.tanzania itajengwa na watanzania wenyewe
bila kujali gharama
 

Njaa kazin
 
Ninyi vilaza wa PPemba tulieni mnyolewe!!

Chopa lazima idondoke huko kwa wala urojo!!
 
kila la kheri kamanda lema 2po pamoja sn hakuna mtu ninae mkubali kama lema,anayesema hana mvuto najua wote ni magamba yaliyogomea kwenye makalio na nawashaurini msubiri na mumuone ni jinsi gn anavyokubalika,hata hivyo magamba kinawauma nn mpk mseme anamvuto? acheni woga na kukijenga chama sio kufungua ofisi,bali kuwaandaa kwanza watu wa kuimiliki ofisi na ninaamini kabisa mh lema atafungua matawi mengi kupitia huo mzunguko.ninawaomba sn bavicha taifa mshirikiane na lema.:lalala:
 

Mliitwa mafisad mkazuka na kuvua gamba nalo halikuvuka licha ya kukesha kupiga wewe na wenzio kina Nape,mwache Lema ajenge chama letu kwan kila atendalo laleta uhai mpya.Mmebana then mtaachia hata kwa matusi yenu mtachoka tu na bado mtaisoma hiyo chopa.
 
Hongera sana Lema, hiyo ndiyo kazi saizi yako. Ubunge ulikuwa haukufai, kukupa ubunge wananchi wa Arusha waliku overdose.
Rejao magamba usie kata tamaa kukitetea chama kinachojifia kwa ufisadi!
 
 
Sasa hivi utamskia msemaji wa jeshi la polisi au JWTZ anasema chopa za vyama vya siasa marufuku. Zinaziba rada yao kipindi hiki wanapomulika Al-shaabab!

du! Mkuu naona una taarifa za kiinteligensia tayari!!
 
 
Huwezi kujenga chama kwa Chopa ni matumizi mabaya ya pesa kuna mambo mengi ya msingi ya kufanya chama hakina ofisi mikoani hata makao makuu hali sio nzuri...mnawachangisha pesa wananchi halafu mnamkodishia Lema Chopa.

Matumizi mabaya kama unaikodisha kama ambavyo CCM inafanya. Hii chopa haikodishwi imeshanunuliwa na anapewa bure. Bei ya mafuta ya ndege ni shilingi elfu moja kwa lita.
 
waliyataka wenyewe sasa wanapigwa kwa njia saba
 
Arumeru tumetumia chopa hebu pita sasa hivi na nguo za kijani uone zomezome....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…