Lema 'anasakwa' Jijini Arusha

Lema 'anasakwa' Jijini Arusha

Mkuu, na chakufurahisha mpaka sasa, chombo kimoja cha kuaminika kinatuabarisha kuwa "TANGAZO TAJWA HAPO JUU LIMESOMWA NA WANA WA ARUSHA WASIOPUNGUA 85%) to kea jana mpaka leo.

Hii kali lakini inapendeza.
 
Hili tangazo ni copy & paste ni ubunifu wa aliyekuwa mgombea udiwani wa CDM mwaka 2010 kata ya Bondeni Bwana Simba siku hizi karejea CCM anagombea nafasi ya Mwenyekiti wa Mtaa wa Bondeni kwa tiketi ya CCM.Kiujumla hili tangazo liliwavutia wananchi wengi kulisoma na unapomaliza kulisoma ujumbe unakuwa umekuingia haswa Lema alipogundua Simba kabuni kitu kilichawafurahisha wengi akaamua kuliibua tena.

si mtaa tu mji wote kwa sasa wamemchoka Lema, wanataka mbunge mwenye kujitambua, lema anafanya mambo yake kitoto mno angalia sasa hilo tangazo very childish, huyu jamaa hakui tu
 
Tuj
uzane hapa kwetu wanaandika watu katika daftari LA mkazi. Hili daftari lina kurasa 50 na kila kurasa inaandikwa kaya moja kama mpo wengi ktk kaya ni wengi mnaweza kumaliza kurasa kama mbili. Na baada ya kuhji nimeambiwa hayo majina ndo watayachambua ili kupata wapiga kura ambao watawekwa majina yao hapo baadae ktk mbao za matangazo.cha ajabu daftari hili limejaa wakati wengine hatujaandikwa baada ya kuhoji kwa mtendaji anasema daftari ni moja tu wakuu hii imekaaje nitakosa haki ya ngu ya kupiga kura? Maana typo wengi ambao hatujaandikwa tafadhali anayejua vizuri ili na mm nikatoe elimu maana huku sisi upinzani bado lakini kwa sasa vijana wanamwamko wavkuandikwa ili wapige kura(mada ndani ya mada)

CCM walifanya uandikishaji wao wenyewe wa wakaazi wa mitaa wakidhani watafanikiwa kulitumia kwenye hizi chaguzi wakiamini wamefanikiwa kuwaweka nje watu wasioitaka CCM

badala yake wakachemka na wazo lao limekosa mashiko..

Nikutoe hofu, uandikishaji kwa ajili ya uchaguzi huu unaanza rasmi tarehe 23 mwezi huu hadi tarehe 29. Hakikisha unaisomba familia yako inaenda kujiandikisha kwa mujibu wa sheria na kisha tarehe 14 wanaenda kumchagua kiongozi bora.. Bado Hujakosa fursa hiyo, unayo!
 
Back
Top Bottom