uongozi wa arusha hoples kabisa wanasumbuliwa na kajitu kama lema mtu mdogo sana kama piliton
Piliton???
uongozi wa arusha hoples kabisa wanasumbuliwa na kajitu kama lema mtu mdogo sana kama piliton
Mkuu, na chakufurahisha mpaka sasa, chombo kimoja cha kuaminika kinatuabarisha kuwa "TANGAZO TAJWA HAPO JUU LIMESOMWA NA WANA WA ARUSHA WASIOPUNGUA 85%) to kea jana mpaka leo.
Hii inanikumbusha hadithi ya CHOPA TATU, KATA TATU.
Subiri mtokomee chooniID yako tu inaonyesha wewe na Lema mnafanana.
Ccm wakipata mtaa mmoja Arusha wameiba. Chadema wamejipanga
si mtaa tu mji wote kwa sasa wamemchoka Lema, wanataka mbunge mwenye kujitambua, lema anafanya mambo yake kitoto mno angalia sasa hilo tangazo very childish, huyu jamaa hakui tu
Tuj
uzane hapa kwetu wanaandika watu katika daftari LA mkazi. Hili daftari lina kurasa 50 na kila kurasa inaandikwa kaya moja kama mpo wengi ktk kaya ni wengi mnaweza kumaliza kurasa kama mbili. Na baada ya kuhji nimeambiwa hayo majina ndo watayachambua ili kupata wapiga kura ambao watawekwa majina yao hapo baadae ktk mbao za matangazo.cha ajabu daftari hili limejaa wakati wengine hatujaandikwa baada ya kuhoji kwa mtendaji anasema daftari ni moja tu wakuu hii imekaaje nitakosa haki ya ngu ya kupiga kura? Maana typo wengi ambao hatujaandikwa tafadhali anayejua vizuri ili na mm nikatoe elimu maana huku sisi upinzani bado lakini kwa sasa vijana wanamwamko wavkuandikwa ili wapige kura(mada ndani ya mada)