Tunamshukuru sana MH LEMA kwa kuepusha KIPONDO kwa ndugu DC , maana ingekuwa fedheha kubwa sana ! Hiyo ndiyo raha ya kuwa na mbunge mwenye ushawishi kwenye eneo lake , ASANTE LEMA WEWE NDIYO TEGEMEO LA ARUSHA .
Hao waendeshaji atakuwa kawakodi ili wafanye ivo kisha nae atie timu aonekana anakubalika sana kwa vijana. Hao bodaboda mlezi wao si ni lowasa! Subirini wakimgeuka Lema atapakimbia arusha
Ukiwa mfinyu wa fikra huwa na macho yako pia hayaoni vizuri. Nimependa sana majibu ya mkuu wa usalama barabarani ni lazima watu wafuate sheria hata kama.... Lema alikuwa anajua anachokifanya pale aliasisi tukio. Itasikitisha sana kuiona Tanzania inavunjika amani kwa matakwa ya Waendesha bodaboda kuta watakalo kinyume na utaratibu. Kama wanasisa wamefikia hapa Nchi sasa imekwisha. Ya Lema haijakaa sawa na watanzania wapimeni watu wanapowadhania ninyi ni dhaifu kiasi cha kuona hoja ya waendesha Pikipiki inatosha kihoja kuwateka kifikra kuwa wao wanawajali na wawatwale. Siamini
Ni sumu akili za watanzania sasa zikiwaona mtu mtu kama Lema kuwa heti ni ukombozi wao. Kuna tatizo la msingi sana ktk nchi kwa hali kama hii ya kuwaamini watu kama Mr ..........