Lema amefanya jambo jema, japo....?

Ya pole ya msiba mi wala sioni kama ni big deal, ila swala la kumuingiza makamu kwenye majibu yake ya passport nimeona alikurupuka. Kuna namna anataka watu wamuone makamu kwa jinsi ya tofauti, na sijui kama alipata consent yake kabla ya kutoka hiyo taarifa. Inaonekana Kuna mpasuko huko chadema, tuwaombee
 
hakuna mpasuko, ni wivu wa kawaida tu (wa maendeleo) Lema ameyashangaa maendeleo ya Heche. hakutarajia ! hata watz wengi hawakutarajia kama John Heche angepeperusha bendera ya chadema kwa viwango hivyo wakati wa mazingira magumu kiasi hiki.
 
Kabisa mkuu, na hii ingempa credit kubwa sana kisiasa.
Credit kumpa pole muuwaji? You might be a joker, labda credit Kwa wafiraji na watekaji, by the way mpaka sasa lema ameanza kupuuzwa hata siku akitoka wananchi watanuona alikuwa msaliti toka zamani.
 
Lissu hawezi kukutana na genge la wafiraji na watekaji.
 
Kabisa mkuu, na hii ingempa credit kubwa sana kisiasa.
Credit gani wakati Lemma anajua kabisa Samia kaua vijana wengi wasio na hatia tena anafurahia na kutamba kuwa amewanyoosha? Roho ya ''mume'' wa Samia ina thamani kuliko vijana wa kitanzania waliodhulumiwa uhai wao kwa maelfu kwa woga wa Samia? Huyu mama ni muuaji na anatakiwa atengwe na kila mtu. Kumpa pole ni sawa na kukubaliana na mauaji aliyofanya na bado anaendelea kutamba kila siku. Pamoja na fedha nyingi anazotumia Samia kuhonga ili akubalike na na usanii wa kutumia kifo cha ''mume'' wake kama njia ya kupendwa lakini vifo vya vijana wa kitanzania vitalipiza kisasi.
 

ulitaka afanye nini? shutuma walizokua wanampa ni sawa?
 
Huyu jamaa na Mbowe wanawaangusha sana Kaskazini
 
"Ushauli KWA Lema , next time kuwa jasiri kusema kile nafsi Yako inakuambia"! Kwani mama atafiwa tena na mumewe kabla ya kuondoka madarakani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…