montroll
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 319
- 126
Hawasikii wala hawaoni yaliyotokea LIBYA,MISRI,TUNISIA NA IVORY COAST!Wamepofushwa na dhambi zao dhidi ya wa TZ.MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI NA AIBU.Vifaru na maji ya pilipili na usalama wa taifa huu kamwe hautaishinda haki kwani anaemiliki haki ni Mungu.Mungu ibariki Tanzania kama MISRI NA LIBYA.waache wafanye shingo zao ngumu, wananchi tutazivunja kwa nguvu ya umma kama zile shingo za Gadafi na MubaraK!A-town, lianzisheni tumalize fasta.Nafikiri Arusha siku moja itakuwa Banghazi ya Tanzania maana chadema inatafutiwa kila sababu ili iangushwe lakini hawataweza maana watu Wa Arusha sasa hivi wako tayari kwa lolote.Niliona siku ya mkutano Wa chadema ulifanyika mwezi uliopita.Ombi langu kwa usalama Wa taifa wasitumiwe na vyama kutuharibia nchi.