Natilia sana mashaka umakini wa huyu mheshimiwa, hasa pale anapotaka kulinganisha TZ na Libya au waTZ na walibya nadhani atakuwa anafanya makosa makubwa sana kama si kujidangaya. Niangalizo tu.
Mkuu,Natilia sana mashaka umakini wa huyu mheshimiwa, hasa pale anapotaka kulinganisha TZ na Libya au waTZ na walibya ....
Mkuu nimekupa,ila ondoa shaka hao ulinzi na usalama wa CCM acha wapande mbegu zakuaribu nasi tunakuja kujenga taifa letu TANGANYIKA wenyewe.VIVA THE TRUE LIBERATION AND EMANCIPATION OF TANGANYIKANS.Nafikiri Arusha siku moja itakuwa Banghazi ya Tanzania maana chadema inatafutiwa kila sababu ili iangushwe lakini hawataweza maana watu Wa Arusha sasa hivi wako tayari kwa lolote.
Niliona siku ya mkutano Wa chadema ulifanyika mwezi uliopita.
Ombi langu kwa usalama Wa taifa wasitumiwe na vyama kutuharibia nchi.
Kaka amani ya tanzania isha expiry samani tunasubiria mathara yawe makubwa ili mtumiaji ahamue mwenyeweMungu atusaidie Tanzania.
Tanzania ulikuwa na amani lakini tunaona kidogo kidogo umeanza kuishiwa na amani je Tanzania unatupeleka wapi?
Utawala gani wa sheria unabagua watuhumiwa. Katika utawala wa sheria kuna aliye juu ya sheria.waachaeni wafanye kazi zao, nchi hii ya utawala wa sheria
Tanzania hii ina wenyewe, wazalendo wa kweli ambao hatuko tayari kuona inachezewa.
Wana-Arusha tumechoshwa na vitisho na pumba za huyu Mbunge. Thubutu kulianzisha uone jinsi wananchi watakavyoungana na vyombo vya dola kuwaweka sawa. Hatujasahau jinsi wewe na wasanii wenzako mlivyosababisha watu kufa na baadaye kutumia maiti zao kujinadi kisiasa. Hamtapata nafasi nyingine ya kufanya huo ufedhuli.
- Tuacheni tuchape kazi tujenge nchi yetu, Hatuna muda wa kupoteza vijiweni kama machalii na masela wako.
- Ngebe za kisiasa zisubiri 2016.
hatuhitaji watu wenye imani kama hii. Sheria gani zinazobana wanademokrasia na kuacha watu wakijimilikisha mapato ya nchi?waachaeni wafanye kazi zao, nchi hii ya utawala wa sheria
machalii na masela ndo wamejaa tele arusha na wakilianzisha 2 wa2 wa muji wa wagumu tunapanda meru fasta kuungana na wenzetu wa cdmTanzania hii ina wenyewe, wazalendo wa kweli ambao hatuko tayari kuona inachezewa.
Wana-Arusha tumechoshwa na vitisho na pumba za huyu Mbunge. Thubutu kulianzisha uone jinsi wananchi watakavyoungana na vyombo vya dola kuwaweka sawa. Hatujasahau jinsi wewe na wasanii wenzako mlivyosababisha watu kufa na baadaye kutumia maiti zao kujinadi kisiasa. Hamtapata nafasi nyingine ya kufanya huo ufedhuli.
Tuacheni tuchape kazi tujenge nchi yetu, Hatuna muda wa kupoteza vijiweni kama machalii na masela wako.
Ngebe za kisiasa zisubiri 2016.
Hii statement si ya kupuuzia wana Arusha wanawaaminia mkilianzisha sisi wa Mwanza tutaitikia haraka sana.
Natilia sana mashaka umakini wa huyu mheshimiwa, hasa pale anapotaka kulinganisha TZ na Libya au waTZ na walibya nadhani atakuwa anafanya makosa makubwa sana kama si kujidangaya. Niangalizo tu.
Wewe ndiyo Duwanzi mwenye ganzi usiyeumia au una hisa katika mateso yetu.Natilia sana mashaka umakini wa huyu mheshimiwa, hasa pale anapotaka kulinganisha TZ na Libya au waTZ na walibya nadhani atakuwa anafanya makosa makubwa sana kama si kujidangaya. Niangalizo tu.
Ni kweli kabisa mkuu hasa ukiangalia kwa juu juu ila ukiwa deep there is something in Common, UKANDAMIZAJI na UONEVU.
Ukiona serikali inakula njama ya kuwadhulu wananchi wake kwa sababu tu hawakubaliani nayo ni dhahiri inakuwa imekosa legitimacy ambayo huwepo pale inapolinda wananchi wake bila kujali itikadi zao.
Serikali ya Tanzania imekuwa na Tabia ya kutumia vyombo vya kulinda usalama wa raia katika kuwaangamiza raia wanaotofautiana nao kisiasa na hata kimtazamo. Kitendo cha kula njama katika kuiba kura wakati wa uchaguzi au hata kufikiria kuwafilisi wafanyabiashara wanaoshabikia upinzani hakilingani tu Libya ila ni sawa na matendo ambayo gaddafi amekuwa akiyafanya kwa wananchi wake kwa miaka mingi, japo sisi Tanzania yamekuwa yakifanyika kwa awamu tofauti za watu walewale wanaojiita CCM.
I hate ujanjaujanja katika kupata ridhaa ya kuongoza nchi. Na ikitokea chama chochote mbali na CCM kikatumia mbinu kama hizi nacho hakitakuwa tofauti na Libya.
Unapokuwa na mfumo wa utoaji haki katika kila nyanja siyo tu unaongeza ufanisi bali unaongeza kasi ya maendeleo kwa watendaji kuwatumikia wananchi badala ya kuwalinda mabwana zao waliopatia nafasi mbalimbali.
Na kwa hili Lema yupo sahihi, Idara hizi zimegeuzwa kuwa Armed wings of CCM to perpetuate their ruling of the country with or without public mandate.
Hapo kwenye red (maneno yako) kwa hali ilivyo hapa tanzania chama kama cdm kinatakiwa kiwe na military wing yake au la? maana yake ccm its seems wanazo tayari sasa nyie mnasubiri nini?Ni kweli kabisa mkuu hasa ukiangalia kwa juu juu ila ukiwa deep there is something in Common, UKANDAMIZAJI na UONEVU. Ukiona serikali inakula njama ya kuwadhulu wananchi wake kwa sababu tu hawakubaliani nayo ni dhahiri inakuwa imekosa legitimacy ambayo huwepo pale inapolinda wananchi wake bila kujali itikadi zao. Serikali ya Tanzania imekuwa na Tabia ya kutumia vyombo vya kulinda usalama wa raia katika kuwaangamiza raia wanaotofautiana nao kisiasa na hata kimtazamo. Kitendo cha kula njama katika kuiba kura wakati wa uchaguzi au hata kufikiria kuwafilisi wafanyabiashara wanaoshabikia upinzani hakilingani tu Libya ila ni sawa na matendo ambayo gaddafi amekuwa akiyafanya kwa wananchi wake kwa miaka mingi, japo sisi Tanzania yamekuwa yakifanyika kwa awamu tofauti za watu walewale wanaojiita CCM.
I hate ujanjaujanja katika kupata ridhaa ya kuongoza nchi. Na ikitokea chama chochote mbali na CCM kikatumia mbinu kama hizi nacho hakitakuwa tofauti na Libya. Unapokuwa na mfumo wa utoaji haki katika kila nyanja siyo tu unaongeza ufanisi bali unaongeza kasi ya maendeleo kwa watendaji kuwatumikia wananchi badala ya kuwalinda mabwana zao waliopatia nafasi mbalimbali. Na kwa hili Lema yupo sahihi, Idara hizi zimegeuzwa kuwa Armed wings of CCM to perpetuate their ruling of the country with or without public mandate.