Mkuu jazia zaidi...anzia akiwa huko Kigoma na Muleba!Uyo alitemwa enzi za nyerere sababu ya.... Km alivyo mtoto wake
Hana lolote lile.Huyu mzee ulishawahi kufukuzwa NEC. Kilichomsaidia kurudi kwenye ulingo wa siasa ni nini.TUNGURI.Naomba kueleweshwa ni ipi legacy ya ndugu yusuph Makamba hapa Tanzania kwenye chama chake na serikalini kwa ujumla.
Kwenye kura ya MARUHANI, 2012 alimpambania JK asivuliwe kofia ya uenyekiti wa ccm, waafidhina walisema anapwaya urais na uenyekiti. Ilikuwa alimanasura dadeki...chezea masaiNaomba kueleweshwa ni ipi legacy ya ndugu yusuph Makamba hapa Tanzania kwenye chama chake na serikalini kwa ujumla.
so hana tofauti na zuchuKulamba sukari.
Mkuu jazia zaidi...anzia akiwa huko Kigoma na Muleba!
Haha... Umesema wewe.so hana tofauti na zuchu
Kumsambaratisha matonya akurudi tena darNaomba kueleweshwa ni ipi legacy ya ndugu yusuph Makamba hapa Tanzania kwenye chama chake na serikalini kwa ujumla.
Kupepeta maneno tupu, ku-engineer ufisadi na kundi la Msoga Gangs.