mtoto wa mjin
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 589
- 564
Una undugu na faru john??eti yuko wap??Kifupi ni kwamba rais wetu WA Sasa aige mengi kutoka Kwa MWINYI
Una undugu na faru john??eti yuko wap??Kifupi ni kwamba rais wetu WA Sasa aige mengi kutoka Kwa MWINYI
1. ALIFUATA TORATI YA MUSA NA KUWANYONGA WOTE WALIOHUKUMIWA KIFO NA MAHAKAMA KWA MUJIBU WA SHERIA ZA TANZANIA BILA MZAHA WALA UPENDELEO AKIWEMO KANALI MMOJA TOKA TABORA NAMPENDA SANA KWA HILO
2. ALIWABEBA SANA WAFANYABIASHARA KIASI KWAMBA AJIRA IKAONEKANA NI UPUUZI NA WENGI WALIACHA KAZI SERIKALINI KWAKUWA MISHAHARA ILIKUWA HAIPATIKANI MPAKA WAFANYABIASHARA WAPELEKE FEDHA BANK NDIPO MFANYAKAZI APATE MSHAHARA NI KATIKA KIPINDI CHAKE ALINISABABISHIA NIACHA KUSOMA BAADA YA KUONA KUAJIRIWA HAKULIPI KAMA KUFANYA BIASHARA
3. ALIMDEKEZA SANA WAZIRI WA FEDHA MAREHEMU PROF. KIGHOMA ALI MALIMA AKAJENGA MSIKITI WIZARA YA FEDHA.
4. NI KATIKA KIPINDI WAISLAM WALITAKA TANZANIA IONGOZWE KIDINI NA MKAKATI HUO ULIONGOZWA NA MAREHEMU SHEIKH YAHYA HUSSEIN KWA KUANZISHA BALKUTA NA KUANZA KUVUNJA MABUCHA YA NGURUWE NA NI KIPINDI HICHO NYAMA YA NGURUWE ILIITWA KWA UTANI "YAHYA" AU MBUZI KATOLIKI
5. NI KATIKA UTAWALA WA MWINYI SERIKALI ILIKUWA HAIKUSANYI KODI NA WAFANYABIASHARA WALIKUWA NA NGUVU YA KUFANYA LOLOTE NA IKULU PALIKUWA PANAINGILIKA KIRAHISI SANA HATA UKIWA NA SHIDA YA ADA YA SHULE ULIRUHUSIWA KUMUONA RAIS NA UKIHITAJI KUCHEZA BAO NA PRESIDAA UNAOMBA NA UNAINGIA KAMA ALIVYOFANYA MWENYEKITI WA YANGA NA MBUNGE WA KILOMBERO MAREHEMU ABBAS GULAMALI. NAISHIA HAPO.[/QUOT
Siajabu mpaka leo watoto wetu wangeenda shule pekupeku, dar es salaam pale ilikuwa ukitaka kuangalia mpira lazima uende mnazi mmoja pale, leo mpaka vyumba vya watoto vina computer.
Dar as salaam mji uliishia Magomeni usalama pale kwingine yalikuwa majaruba tu...nchi ilikuwa haina hata hela ya kuagiza meli moja ya mafuta.. Mwinyi ameingia madarakani mkaanza kuvaa viatu, kuvaa nguo baadhi ya maeneo ilikuwa viraka tu, mkaanza kununua Magari, tv, kujenga nyumba na kipindi hicho ndipo dar ilipoanza kujengeka na mji angalau sura ikaonekana...
Pacha wangu yule sisi ni WA Ukoo WA John pombe. Subiri kidogo tutapata mrejesho WA nini tume imegundua.. Kuna movie flani tunacheza Subiri ndani ya hii week. Kick ya kufungia mwaka 2016 kutoka Kwa serikali yetu. Kuna WATU hawatafunga mwaka salamaUna undugu na faru john??eti yuko wap??
Hivi hili neno "mubashara" lina maana gani?Halafu kuna njemba ilimkataga mabanzi mubashara hadharani yaani watu wana laana dunia hii.
Na upole ule wa Mzee mwinyi unatoa wapi ujasiri wa kumuadhibu na sucker slap...alinifurahisha alipomsamehe. That's was tottaly humane and humble.
ha ha ha ha duAlikuwa anasikiliza sana ushahuri wa mke wake kuliko baraza la mawaziri
Duh , ndugu mbona hiyo haipo. NYERERE ndiye aliyeleta siasa ya chama kimoja. Na uzuri wake alikuwa hapendi upinzani , ukimpinga basi unapotea ksiasa na hata kimali.Mkuu kinacho nishangaza ni kuwa mfumo wa vyama vingi sifa nyingi anapewa Nyerere wakati aliyekuwepo madarakani ni Mwinyi sijajua kwa nini anasifiwa Nyerere
Nimecheka balaa, mabanzi mubashara?Halafu kuna njemba ilimkataga mabanzi mubashara hadharani yaani watu wana laana dunia hii.
Na upole ule wa Mzee mwinyi unatoa wapi ujasiri wa kumuadhibu na sucker slap...alinifurahisha alipomsamehe. That's was tottaly humane and humble.
Mkuu ujima kwa Tz bado ulikuwapo na mtu kula wali ilikua anasa kubwa sanamkuu ujima si ukiisha miaka mingi iliyopita, au unamaanisha ujima upi mkuu
Nyerere alipoacha Urais alibaki mwenyekiti kwa miaka miwili hadi 1987
mwenyekiti wa CCM....