Mzee mwinyi ni mtu muungwana sana na huwa katu hawezi jikweza ndo maaana kila mara huwa anasifia mwingine na sie yeye.
Hata alipoulizwa kuhusu mwalimu nyerere alisema "ukijaribu kunilinganisha mimi na mwalimu basi mimi ni kichuguu yeye ni mlima kilimanjaro"
Alhaj mwinyi muungwana sana bwana yule...!!