u mean dual ouput ya pc moja? vga card (video card) yako ndo itasema. u see mpaka udisplay na monitor mbili lazima uwe na output mbili tofauti za video na since kazi ya vga ndo kutoa video.. kama ni desktop, una bahati as unaweza kununua vga card mpya ambayo ina outputs nyingi e.g hdmi, hdmi vga na vga, au hdmi, dvi na vga. video cards za dektops zimejaa madukani na they come in all sorts of prices. kama shida yako ni kupata display mbili tu, unaweza kachukua any sort of video card lakini kama una mpango wa kufanya zaidi kama kucheza games on these dual output, itabidi ufanye research kidogo (or u ask here again :biggrin about which cards are best suited for u
Anyway mimi si mtaalamu wa electronics ila ninachoweza kusema ni kuwa huwa kuna matundu matatu yenye rangi nyeupe, nyekundu na njano, jumla huwa yako 6, yaani m3 ni video in na ma3 ni video out sasa mi naona just simple unatoa kutolka video out kupeleka kwenye tv nyingine kama video in. Naamini itafanya kazi, hebu jaribu hii. LED yangu inayo hayo matundu. Hapa mimi huwa natoa kwenda kwenye sub woofer sema woofer haina video lakini haya mawili yanafunction.