Lazima uwe mume -----..

Lazima uwe mume -----..

twende kazi

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
1,520
Reaction score
461
Salaam wadau,
Sio siri kama mwanaume unajikuta unataka kuoa halafu unakutana na mwanamke kama Lara1 ili uishi nae muda mrefu lazima ukubali kuwa mume bweg- tu.Huyu dada ni mtata aisee ni mwenye misimamo isiyoyumba, kwa sisi wanaume wa kiafrika tuliozoea mfumo dume kidogo kwa wanawake wa type iyo ni kaazi kweli kweli.
 
Salaam wadau,
Sio siri kama mwanaume unajikuta unataka kuoa halafu unakutana na mwanamke kama Lara1 ili uishi nae muda mrefu lazima ukubali kuwa mume ----- tu.Huyu dada ni mtata aisee ni mwenye misimamo isiyoyumba, kwa sisi wanaume wa kiafrika tuliozoea mfumo dume kidogo kwa wanawake wa type iyo ni kaazi kweli kweli.

You mean @lara1? She is good critical figure. She is good wife. May be she was born on September

 
Salaam wadau,
Sio siri kama mwanaume unajikuta unataka kuoa halafu unakutana na mwanamke kama Lara1 ili uishi nae muda mrefu lazima ukubali kuwa mume ----- tu.Huyu dada ni mtata aisee ni mwenye misimamo isiyoyumba, kwa sisi wanaume wa kiafrika tuliozoea mfumo dume kidogo kwa wanawake wa type iyo ni kaazi kweli kweli.
Kwenye vidoti vyekundu kunapaswa kuwa na neno ----- sijui kwanini mods wamelitoa yaani wameua maana kabisa ya thread yangu.Kama vipi wakuu ifuteni kabisa mnaboa mamods.
 
Salaam wadau,
Sio siri kama mwanaume unajikuta unataka kuoa halafu unakutana na mwanamke kama Lara1 ili uishi nae muda mrefu lazima ukubali kuwa mume ----- tu.Huyu dada ni mtata aisee ni mwenye misimamo isiyoyumba, kwa sisi wanaume wa kiafrika tuliozoea mfumo dume kidogo kwa wanawake wa type iyo ni kaazi kweli kweli.
Sasa ngoja nikwambie mwanamke type hiyo ndo safi, anakuwa na sababu za msingi anapofanya jambo kitu ambacho hufungua mjadala baina yenu.
 
Salaam wadau,
Sio siri kama mwanaume unajikuta unataka kuoa halafu unakutana na mwanamke kama Lara1 ili uishi nae muda mrefu lazima ukubali kuwa mume ----- tu.Huyu dada ni mtata aisee ni mwenye misimamo isiyoyumba, kwa sisi wanaume wa kiafrika tuliozoea mfumo dume kidogo kwa wanawake wa type iyo ni kaazi kweli kweli.

Hahahaaaaaa! I CANT BELIEVE UMENIANZISHIA THREAD!!!!!!!!!! You are Bananas!!!!!!!!!

Anyway mimi sio matata wala nini sema sipendi Kutokuwa na Msimamo, au Kuonewa! Mimi si Mchokozi asilani ila ukinianza lazima ni set example ili wengine wasinichukulie poa! Ukiniona Mpoleeee! Mkimya sina neno na mtu! NEBEEP SASA ndo utakaponipata KIDIGITALIII!!!!!!!!

Otherwise hata humu ndani hata siku moja huwezi kuta nimeingia thread ya mtu na kuanza kusema mbovu au kuponda! NEVERRRRRRRRRR!!!!!!! Kama vimeniboa natoka kimyakimya! I respect freedom of speech ya kila mtu! Na narespect conglomerate ya kila mtu!!!!!!!!

Na kwenye suala la wanaume nikiwa na uhusiano na mtu lazima awe najielewa! Sina roho ya kuvumilia upuuzi, kusamehe ujinga au kubembeleza bembeleza ufyorooo! Kama hatusomani baaaaaaaaaaaass! Kuna watu zaidi ya Billion duniani stress za nini? Plus Napenda free riding sanaaa! Ofcourse sometimes inakuwa kukosa ustahimilivu n all that ila bana IT JUST ISNT IN ME!!!!!!!! Huwezi nikuta Victm wa mtu katuuuu!!!!!!!!!

Pia sipendi mtu aniogope au awe mtumwa wangu, Nooooooooo! Hapa ni freedom tu! Afanye atakacho ila awe na grounds zenye logic! Na awe na msimamo na anajiongoza manake mimi naweza kujiongoza mwenyewe tu! Akinitegemea Jahazi litazama!
 
lara 1 anaigiza humu tu,akikutana na jamaa yake ni mnyonge kupitiliza.Huwezi kuamini ukimwona...mnyongeeeee

Hahahaaaaaa! Mi sio mkorofi ila sio mnyonge au nyonde nyonde!!!!!!!!! Tunaenda kwa haki na usawa tukiongozwa na Logic na grounds za msingi!!!!!!!

Ukinifanyia upuuzi you will see my true colours! My strength is in War na my weakness is in Peace!!!!!!!!! Ukinifanyia wema uliopitiliza unanikosehsa amani sanaaa, nakuwa najistukia sana, najiona mdogooo!
 
hapa topic ni nini, discussion about lara 1 au ???
 
Hahahaaaaaa! I CANT BELIEVE UMENIANZISHIA THREAD!!!!!!!!!! You are Bananas!!!!!!!!!

Anyway mimi sio matata wala nini sema sipendi Kutokuwa na Msimamo, au Kuonewa! Mimi si Mchokozi asilani ila ukinianza lazima ni set example ili wengine wasinichukulie poa! Ukiniona Mpoleeee! Mkimya sina neno na mtu! NEBEEP SASA ndo utakaponipata KIDIGITALIII!!!!!!!!

Otherwise hata humu ndani hata siku moja huwezi kuta nimeingia thread ya mtu na kuanza kusema mbovu au kuponda! NEVERRRRRRRRRR!!!!!!! Kama vimeniboa natoka kimyakimya! I respect freedom of speech ya kila mtu! Na narespect conglomerate ya kila mtu!!!!!!!!

Na kwenye suala la wanaume nikiwa na uhusiano na mtu lazima awe najielewa! Sina roho ya kuvumilia upuuzi, kusamehe ujinga au kubembeleza bembeleza ufyorooo! Kama hatusomani baaaaaaaaaaaass! Kuna watu zaidi ya Billion duniani stress za nini? Plus Napenda free riding sanaaa! Ofcourse sometimes inakuwa kukosa ustahimilivu n all that ila bana IT JUST ISNT IN ME!!!!!!!! Huwezi nikuta Victm wa mtu katuuuu!!!!!!!!!

Pia sipendi mtu aniogope au awe mtumwa wangu, Nooooooooo! Hapa ni freedom tu! Afanye atakacho ila awe na grounds zenye logic! Na awe na msimamo na anajiongoza manake mimi naweza kujiongoza mwenyewe tu! Akinitegemea Jahazi litazama!

Lara 1 mi nakuzimikia saaaaaaana! basi tu!
 
Hahahaaaaaa! Mi sio mkorofi ila sio mnyonge au nyonde nyonde!!!!!!!!! Tunaenda kwa haki na usawa tukiongozwa na Logic na grounds za msingi!!!!!!!

Ukinifanyia upuuzi you will see my true colours! My strength is in War na my weakness is in Peace!!!!!!!!! Ukinifanyia wema uliopitiliza unanikosehsa amani sanaaa, nakuwa najistukia sana, najiona mdogooo!
Si nilisema mimi?
 
Bweg..!mbele ya neno mume

Wala mimi siwezi kumfanya Mume wangu ----- asilani, Nimejifunda mwenyewe nimefundika! I understand the psychology of Men! Na ili udumu na mwanaume kama umeamua (Unless umemchoka ofcourse) lazima ujue how to play with his psychology! Baaaaaaaaaass!

Afu mimi kama vitu logical na vya maendeleo siwezi kubisha au kuleta ushindani usio na tija! So mume wangu mpaka nimekubali anioe kazi itakuwepo hapo! Na lazima awe anajielewa!
 
Wanawake kama hawa kuongelewa ngumu huishia kumegwa tu
 
Si nilisema mimi?

Wap wewe kuna wanaume magaidi hadi mwenyewe nilichemkaaa! Khaaaaaaaaaa! Issue ni kuwa mahusiano yangu yanakuwa huru sanaaa! Kama ligi zikianza mwenyewe i call quits mapemaaa! Sipendagi stress stress na upuuzi wakati hata peke yangu mjini naishi!
 
Wanawake kama hawa kuongelewa ngumu huishia kumegwa tu

Hahahaaaaaaaaaa!!!!!! Kwa taarifa yako nishataka kutolewa mahai mara 2 na watu 2 tofauti nikagoma! Bado umri unaniruhusu plus hao wanaume bora nilivowagomea manake mbona ningeumbukaaaa!

Kuliko niolewe niwe worse off kimaisha heri nibaki single ni keep my options open! USIFANYE MCHEZO NA KUMKABIDHI MTU MAISHA YAKO!!!!!!!!!!!! Sio kizembe kizembe hivi hivi! Maybe nikifika ma 30 au 40 hukooo labda perspective yangu ya kuona mambo itabadilika!

Early 20s zangu, best years of my life nikaspoil kwa mtu!!!!!!!! Thubutuuuuuuuuuuuuu!!!! I AM KEEPING IT REAL!!!!!!!!!!
 
Wanawake kama hawa kuongelewa ngumu huishia kumegwa tu

Hahahahaaaaaaaa! Kuolewa unaona dili mwenyewe? Wachache sana ndo wana win kwa kuolewa wengine wanabaki kuregret na kugawa urojo nje! Tuko nao job wake za waafrika! Kugawa gawa kwa kila bachelor hadi unajiuliza aliolewa ushahidi ama? Na wanaume nyie mliooa mnatuwindaje sasa eti tuwachune?????? Si makubwa haya? Hela peleka kwa mkeo baba!!!!!!!

Thread kibao mme wangu hanitunzi, mme wangu kitombi, mme kamla beki tatu, mme nyumba ndogo!!!!!!!!! Kuolewa ilikuwa dili zamani!!!!!!!!!
 
Lala 1 mbona mwanamke mpole tu I like girls of her kind.
 
Back
Top Bottom