Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 577
- 1,381
Sifurahii Anguko la Urusi (ingawa Pro Russia wengi wanasababisha masuala yaende kishabiki). Urusi mwenye nguvu Dunia nzima tunamuhitaji na Muda unavyozidi kuyoyoma China atabaki njia Panda sababu anamuhitaji pia Mrusi mwenye nguvu.
Urusi mwenye nguvu alichangia sana Harakati za Uhuru kwa nchi nyingi kusini mwa Sahara.
Mmarekani mwenye nguvu alisababisha South Afrika kuchelewa sana kuupata Uhuru wake. Na Vita vya Muda mrefu kwa nchi nyingi kusini mwa Afrika
ILA KWA NGUVU ZOTE UBABE WA KUVAMIA MATAIFA MENGINE HURU NI KITU CHA KUPINGWA. Kama tulikemea Ukoloni tukemee pia Ukoloni kupenyezwa kwa mataifa mengine pasipo mipaka ya rangi au dini zetu.
Shida wengi wanaojikuta wakiegemea upande wa RUSSIA ni sababu ya misingi ya kidini na sio kusimama katika Haki. Na hasa Pro Russia wengi.
Kama tulisimama kukemea Ukoloni wa Marekani kwa mataifa mengine mfano Syria na Libya, Mataifa ambayo kuna idadi kubwa ya Wakristo na Waislam na Historia ya imani zote hizo mbili.
Kwanini tusimame na Urusi kwa anachokifanya, Kifupi Vita imeisha tayari Phase ya Kwanza na Urusi kashindwa ni suala la kupeleka vita ionekane kuchukua muda kusudi Urusi iweze Ku-Bargaining Demand zake na nafasi yake kwenye Meza ya Dunia.
Urusi kurudi kuwa kama taifa dogo Duniani ni Hatari sio kwa Afrika tu na Hata China anafahamu hilo
Tatizo Pro Russia wengi wamesababisha Tuhamie kwenye Ushabiki na kutukana badala ya Facts
Urusi mwenye nguvu alichangia sana Harakati za Uhuru kwa nchi nyingi kusini mwa Sahara.
Mmarekani mwenye nguvu alisababisha South Afrika kuchelewa sana kuupata Uhuru wake. Na Vita vya Muda mrefu kwa nchi nyingi kusini mwa Afrika
ILA KWA NGUVU ZOTE UBABE WA KUVAMIA MATAIFA MENGINE HURU NI KITU CHA KUPINGWA. Kama tulikemea Ukoloni tukemee pia Ukoloni kupenyezwa kwa mataifa mengine pasipo mipaka ya rangi au dini zetu.
Shida wengi wanaojikuta wakiegemea upande wa RUSSIA ni sababu ya misingi ya kidini na sio kusimama katika Haki. Na hasa Pro Russia wengi.
Kama tulisimama kukemea Ukoloni wa Marekani kwa mataifa mengine mfano Syria na Libya, Mataifa ambayo kuna idadi kubwa ya Wakristo na Waislam na Historia ya imani zote hizo mbili.
Kwanini tusimame na Urusi kwa anachokifanya, Kifupi Vita imeisha tayari Phase ya Kwanza na Urusi kashindwa ni suala la kupeleka vita ionekane kuchukua muda kusudi Urusi iweze Ku-Bargaining Demand zake na nafasi yake kwenye Meza ya Dunia.
Urusi kurudi kuwa kama taifa dogo Duniani ni Hatari sio kwa Afrika tu na Hata China anafahamu hilo
Tatizo Pro Russia wengi wamesababisha Tuhamie kwenye Ushabiki na kutukana badala ya Facts