Lazima ugeuze shingo

Lazima ugeuze shingo

Numero Uno

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2020
Posts
648
Reaction score
1,411
2794160_Mbunge.jpg

Mpaka dkt bashiru
 
Sijaona nguo ya kubana au isiyo na heshima....Hivi washawai kuona msambwanda uliobanwa na pedopusha? bashiru kakata shingo ila FA kaona hakuna jipya ndio maana hata hakugeuza shingo.
 
Watu wananjaa humo 😂😂😂

Ova
 
Kilichofanya wageuke wala sio huyo Dada. Pia hata aliyesimama mlangoni mbele ya huyo Dada nae amegeuka.
 
Sijaona nguo ya kubana au isiyo na heshima....Hivi washawai kuona msambwanda uliobanwa na pedopusha? bashiru kakata shingo ila FA kaona hakuna jipya ndio maana hata hakugeuza shingo.
Mpaka pedo kama inataka kuchanika sasa hivi!!!!! Kipoozeo
 
Huyu Magige aliyekwenda kufanya vurugu kwenye kifo cha mchumba wake ambaye ni mume wa mtu mbona huwa anajiachia tu bila wasiwasi tena huko huko bungeni? Au kwa kuwa ni pisi?
IMG-20210601-WA0040.jpg
 
Back
Top Bottom