Lazima ufike huo

Lazima ufike huo

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,096
Reaction score
828,932
1428685035802.jpg
 
Hii picha bado sijaielewa, yaani dogo analia kwa kupewa mzigo mdogo au? Nauliza hivyo kwa sababu kama huu mzigo ungekuwa mzito asingebeba hivi maana unaonekana uko juu bila kugusa chini kuashiria kuwa anaumudu vizuri, au vipi?
Angalia mzigo wa kulia kwa huyo do go...
 
Haki za watoto zimewekwa kapuni katika nchi nyingi aiseee
 
Back
Top Bottom