Wamesahau hata anayetoka ikulu alikua kwenye list of shame..Mkapa alifungua kampuni akiwa Ikulu...kwa kifupi ishageuzwa pango la walanguzi siku nyiingi
kasome ilani ya chadema(ukawa) na rasimu ya pili ya katiba ya wananchi, ndo anachoenda kufanyia kazi Lowassa, deal litatoka wap? bunge linalokuja sio kama lile mlilozoea la kulindana kisa ni wana ccmKwa hiyo unaona sifa kuongozwa na viongozi wenye kariba zinazo fanana(wapiga deal)
Naomba kujua ivi "poo" huwa ni kitu gani?
Make nakumbuka wakati nacheza chandimu au kombolela, tulikua tunaita "foo" ambapo baada ya kua mkubwa nikagundua ni foul.
Poo nikama kuomba break au to give up on something yan Apo ndo navozan mm
kasome ilani ya chadema(ukawa) na rasimu ya pili ya katiba ya wananchi, ndo anachoenda kufanyia kazi Lowassa, deal litatoka wap? bunge linalokuja sio kama lile mlilozoea la kulindana kisa ni wana ccm
hata angekuwa jambazi sugu sisi ni huyo huyo tu
hata angekuwa jambazi sugu sisi ni huyo huyo tu
Kwa hiyo unaona sifa kuongozwa na viongozi wenye kariba zinazo fanana(wapiga deal)
kasome ilani ya chadema(ukawa) na rasimu ya pili ya katiba ya wananchi, ndo anachoenda kufanyia kazi Lowassa, deal litatoka wap? bunge linalokuja sio kama lile mlilozoea la kulindana kisa ni wana ccm
Hii siyo kauli ya ajabu kutoka kwa vijana wanywa viroba hapo ubavichani.