mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,312
- 55,970
heri mnywa kiroba kuliko gongo pambafu weeeHii siyo kauli ya ajabu kutoka kwa vijana wanywa viroba hapo ubavichani.
heri mnywa kiroba kuliko gongo pambafu weeeHii siyo kauli ya ajabu kutoka kwa vijana wanywa viroba hapo ubavichani.
Poor wewe so unatoa nini ili uweke nini... Unataka mabadiko kwa wale wale .. Shortly hamna jipya
hata angekuwa jambazi sugu sisi ni huyo huyo tu
Well said mkuu. Mijizi ccm hatuitaki tenakkasome ilani ya chadema(ukawa) na rasimu ya pili ya katiba ya wananchi, ndo anachoenda kufanyia kazi Lowassa, deal litatoka wap? bunge linalokuja sio kama lile mlilozoea la kulindana kisa ni wana ccm
HAHAHHA huyu fisadi lowasa atakufa kwa presha sasa jamani maana huko aliko nadhani ni kisukari na presha vinazidi kumpanda
Naomba kujua ivi "poo" huwa ni kitu gani?
Make nakumbuka wakati nacheza chandimu au kombolela, tulikua tunaita "foo" ambapo baada ya kua mkubwa nikagundua ni foul.
Poo nikama kuomba break au to give up on something yan Apo ndo navozan mm
Mwaka huu CCM inaondoka, kwahiyo mngeanza kujipanga namna ya kuishi bila CCM, badala ya kupoteza muda kuandika andika upuuzi hapa JF.Hii siyo kauli ya ajabu kutoka kwa vijana wanywa viroba hapo ubavichani.
Mwaka huu CCM inaondoka, kwahiyo mngeanza kujipanga namna ya kuishi bila CCM, badala ya kupoteza muda kuandika andika upuuzi hapa JF.