Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Bora ukachunge ng'ombe kuliko kudharau Mamlaka. Utaishia jela bure!Acha atutembeze katika barabara ya ukweli
Hawezi kufungwa tupo tutamdhamini.
Ukweli Upo na umekuwa ukiishi katika fikra zetu.
Ukitaka asisemwe Basi aachie ofisi ya umma.
Alipo sasa yeye ni waumma.
Lazima asemwe.