CHAPUTA nilisahau...
mi nafanyaga nikiwa mtupuKukata viuno/kudance mbele ya kioo
Hahaha
Haki nimecheka maana ndio tukio nimetoka kufanya
Kupiga GUITAR
daah..!! Hatari yani huku ukiwa unawaza ya kesho
Kuishi mwenyewe ni nusu uchizi wakati mwingine daaah!!Hahaha
Shogaaa mie hiyo napenda kweeli
#5&kusimama naked mbele ya kioo
ukiwa unakula peke yako nyama ikidondoka chini unaichukua unaila ila mkiwa wengi unazuga na kuitupa
We utakuwa shogaa si bure
kumbe kuna watu wanakula kucha za miguuniHahahaa hata mimi nilikuwa nakula zamani, siku hizi nimenenepa nashindwa kujikunja.
Wapokumbe kuna watu wanakula kucha za miguuni
MkuuHahahaa yaani mpaka mtu unashindwa kushika vitu vizuri, kuoga au kufua. Hii hali ya kula kucha sijui inasababishwa na nini?
Ya kweli hayo ??Aiiiiiiii Smart911 love naona aibu eti haha jana ulinipa uhuru wa kufanya kufuru love thankxxxxxxxxxx