Lazaro Nyalandu: Tatizo kubwa la CHADEMA ni Uongozi wa juu, CCM imejaliwa mfumo

Chadema mmafanyaga makosa sana kuchukua oil chafu toka ccm. Mkimaliza kuisafisha wanawaachia uchafu wanarudi ccm na kuanza kuwachafua.

Nyalandu
Sumaye
Lowassa
Lembeli
Next tym wakija msiwape uongozi wowote. Wawe wanachama wa kawaida.
Hivi vituko vya kuhama hama vyama bila msimamo wa kueleweka vinashangaza sana. Halafu mtu mzima anaondoka tena anarudi alikotoka na bila aibu anarudi na maneno ya kulaumu alikoenda mwenyewe kwa utashi wake wala siyo kwamba alinunuliwa. Na mara zote wakisharudi wanasema uongozi wa Chama walichohamia una matatizo. Jambo hili linaibua fikra za ajabu kidogo. Wakati mwingine inakuwa kama inamaanisha walitaka wakapewe uongozi wa juu wa hicho chama walichohamia ghafla ili wakisambaratishe. Inaposhindikana basi inabidi warudi walikotoka na maneno ya kashfa. Itoshe tu kukiri kwa kusema kwamba siasa zetu zina dosari tena dosari za kijinga sana.
 
Kwahiyo Lisu ambae hajawa kama Lowasa kawapa faida gani?

Lowasa aliwapa chadema wabunge 60.
Lisu amewapa chadema mbunge mmoja.

Bora nyarandu angegombea urais
Angepewa alichokitaka sasa hivi ingekuwaje maana tayari yupo CCM. Au alitaka madaraka ndipo abaki? Unampaje uongozi malaya wa kisiasa kama huyu?
 
Back
Top Bottom