johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
- Thread starter
- #61
Kwani Jf bunge halimo?!!.......au wewe upo upo tu hapa jukwaani!Kama unaamini hivyo kwanini maswali yako usiyapeleke huko?
Kwani Jf bunge halimo?!!.......au wewe upo upo tu hapa jukwaani!Kama unaamini hivyo kwanini maswali yako usiyapeleke huko?
Kwani Jf bunge halimo?!!.......au wewe upo upo tu hapa jukwaani!
Kid umeshakwenda sunday school au unasumbuwa baba zako tu hapa JF?Ukienda kutafuta totoz unabeba na counterbooks?!!
Jibu swali Rais wa UKWATA alisomea course gani pale IFM yaani Institute of Finance Management wakati huo? Uhasibu, social security, tax management au Information technology?.......,,au mrangi atakusaidia mkuu!Kid umeshakwenda sunday school au unasumbuwa baba zako tu hapa JF?
Wewe Fala Nyalandu University amesoma Marekani kenge wewe.Jibu swali Rais wa UKWATA alisomea course gani pale IFM yaani Institute of Finance Management wakati huo? Uhasibu, social security, tax management au Information technology?.......,,au mrangi atakusaidia mkuu!
Tofautisha kati ya kumbukumbu uchwara za uongo na ukweli na thabiti unaofahamika kwa jamii.Pambanua hayo.Kwa mujibu wa kumbukumbu za bunge Nyalandu alitimuliwa CCM!
Kitu kilichopotea kinakuzuzua nini au kitisho chake kinatokea wapi?Kitu kikipotea,aliyebaki anakuwa huru.Sasa ya nini mnapapatika kama bata kapigwa jiwe la utosi?Na UKAWA kupotea kwenye ramani ya siasa nchini!
Hahahaa......... Umeshapanic tayari!!! Jamani Nyalandu ni nani?!!Wewe Fala Nyalandu University amesoma Marekani kenge wewe.
Ni mume wako. Wewe nyumba ndogo na yule miss ni nyumba kubwa.Hahahaa......... Umeshapanic tayari!!! Jamani Nyalandu ni nani?!!
Yule ni mfuasi wa efatha pale Mwenge hawanaga mitala wale mkuu..... Heri wewe uliyelelewa pale parokiani na flateli!Ni mume wako. Wewe nyumba ndogo na yule miss ni nyumba kubwa.
N waziri mzigo aliyehamia chadema na kupokelewa kwa mbwembwe na chama kilichomnad kuwa mzigo na mwizi wa meno ya tembo, twiga na nyara kadha wa kadhaza serikalPilato alimuuliza Yesu " wewe ni nani? na hiyo ilikuwa ni baada ya yeye Pontio Pilato kuona kuna mambo mengi yasiyo ya kawaida. Ndiposa nami baada ya kuona harakati za huyu Nyalandu kuanzia kumuoa Miss Tanzania, kusema Marekani ilimtaka agombee urais, kuratibu matibabu ya watoto wa ajali ya Arusha, kutimuliwa CCM, kutimkia Chadema na hatimaye kuwa muasisi wa zoezi la hama hama lililoshika kasi ya ajabu na hatimaye yeye mwenyewe amekaa kimya ila chama chake kipya ndio kipo taabani. Najiuliza huyu Nyalandu ni nani?......... Mwenye majawabu tafadhali!
Hizo zitakuwa cheque books.....kwa utoto wako ukafikiri counterbooks!Ukienda kutafuta totoz unabeba na counterbooks?!!
anapatikanaje huyu jamaaKAMA UNATAKA SCHOLARSHIP YA KUSOMA ABROAD, MCHEKH NYALANDU, UNAPATA NDANI YA SIKU 1.