Ramadhani Juma Abdallah
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 390
- 230
Wewe umepata nini au taifa limepata nini baada ya kumtembelea mwizi mwenzakeAliyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini CCM, Lazaro Nyalandu amemtembelea Mh. Edward Lowassa Ofisini kwake Mikocheni jijini Dar es salaam.