Laws enacted by our parliament that never or almost never functioned

Ndondobwila

JF-Expert Member
Jun 9, 2015
562
407
Hodi wana Jamii!!
Hebu tujikumbushe sheria au miswada ya sheria iliyowahi kupitishwa na bunge let tukufu, lakini haijawahi kufanya kazi licha ya rais kuipitisha.

* kuvuta sigara hadharani
* kumkonyeza mwanamke
* kupiga muziki wa disco maeneo ya makazi ya watu
* - - - - - -
* - - - - -
Nawasilisha
 
Hodi wana Jamii!!
Hebu tujikumbushe sheria au miswada ya sheria iliyowahi kupitishwa na bunge let tukufu, lakini haijawahi kufanya kazi licha ya rais kuipitisha.

* kuvuta sigara hadharani
* kumkonyeza mwanamke
* kupiga muziki wa disco maeneo ya makazi ya watu
* - - - - - -
* - - - - -
Nawasilisha
Unapima vipi kwamba haizijawahi kufanya kazi hizo sheria??
 
Back
Top Bottom